beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
China imetoa wito kwa raia wake kutosafiri nchini kuelekea nchini Australia ikisema kuna ubaguzi na vurugu dhidi ya raia wa Asia
Wizara ya Utamaduni na Utalii imesema Australia imekuwa na ongezeko la vitendo vya ubaguzi dhidi ya Wachina na watu kutoka Asia kwa ujumla kufuatia athari za mlipuko wa COVID19
Hii inakuja baada ya Australia kuunga mkono uchunguzi wa kimataifa ufanyike kubaini chanzo cha mlipuko wa Corona na hatua zilizochukuliwa kukabiliana nao
===
China has advised its citizens not to visit Australia, citing racial discrimination and violence against Asians during the coronavirus pandemic.
China has advised its citizens not to visit Australia, citing racial discrimination and violence against Asians during the coronavirus pandemic.
A notice issued by the Ministry of Culture and Tourism late on Friday said there had "been an increase in words and deeds of racial discrimination and acts of violence against Chinese and Asians in Australia, due to the impact of COVID-19 pandemic".
"The ministry advises Chinese tourists to raise their safety awareness and avoid travelling to Australia," the notice said.
The move comes after China threatened retaliation following Australia's decision to push for an international investigation into the origins of the coronavirus pandemic and responses to it.
Source: Al Jazeera
Wizara ya Utamaduni na Utalii imesema Australia imekuwa na ongezeko la vitendo vya ubaguzi dhidi ya Wachina na watu kutoka Asia kwa ujumla kufuatia athari za mlipuko wa COVID19
Hii inakuja baada ya Australia kuunga mkono uchunguzi wa kimataifa ufanyike kubaini chanzo cha mlipuko wa Corona na hatua zilizochukuliwa kukabiliana nao
===
China has advised its citizens not to visit Australia, citing racial discrimination and violence against Asians during the coronavirus pandemic.
China has advised its citizens not to visit Australia, citing racial discrimination and violence against Asians during the coronavirus pandemic.
A notice issued by the Ministry of Culture and Tourism late on Friday said there had "been an increase in words and deeds of racial discrimination and acts of violence against Chinese and Asians in Australia, due to the impact of COVID-19 pandemic".
"The ministry advises Chinese tourists to raise their safety awareness and avoid travelling to Australia," the notice said.
The move comes after China threatened retaliation following Australia's decision to push for an international investigation into the origins of the coronavirus pandemic and responses to it.
Source: Al Jazeera