Bakari China
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 251
- 583
Kulinganishwa na chanzo cha popo, ningeamini zaidi chanzo cha Marekani. Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetoa wito wa Marekani kufungua maabara yake ili tujue wazi corona vinatoka wapi. Kwani Marekani haithubutu kufungua maabara?bila shaka maana nyie ndo mlianza kwa kula popo