Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,661
- 46,350
Kuondolewa madarakani kwa dikteta wa muda mrefu wa Sudan, Omar al-Bashir mwaka 2019 hakukusaidia nchi hiyo kujikwamua kutoka katika misukosuko na machafuko yake ya kisiasa ya muda mrefu.
Sasa vikundi vya kijeshi vinavyotawala nchi viko katika mapigano makali ya kuwania madaraka. Hata hivyo haya yote yamekuwa yakiendelea huku China ikitanua na kukita zaidi ushawashi wake katika taifa hilo la Kiarabu. Kwa sasa China inamiliki 75% ya uwekezaji wote wa mafuta nchini humo na imeikopesha nchi hiyo zaidi ya bilioni 10$.
Kama ingekuwa ni US au taifa lingine la West wako Sudan katika hali kama hii wangetupiwa kila aina ya lawama kwamba wanahusika na huo uharibifu na vurugu, ila hatuoni China wakitupiwa lawama hizi au wakitakiwa kuwajibika kuleta amani Sudan kwa sababu ni wazi katika hali kama hii ya machafuko na serikali kukosa udhibiti kiwango kikubwa cha mafuta kitakuwa kinaibwa na kutoroshwa kutoka Sudan na wawekezaji.
Sasa vikundi vya kijeshi vinavyotawala nchi viko katika mapigano makali ya kuwania madaraka. Hata hivyo haya yote yamekuwa yakiendelea huku China ikitanua na kukita zaidi ushawashi wake katika taifa hilo la Kiarabu. Kwa sasa China inamiliki 75% ya uwekezaji wote wa mafuta nchini humo na imeikopesha nchi hiyo zaidi ya bilioni 10$.
Kama ingekuwa ni US au taifa lingine la West wako Sudan katika hali kama hii wangetupiwa kila aina ya lawama kwamba wanahusika na huo uharibifu na vurugu, ila hatuoni China wakitupiwa lawama hizi au wakitakiwa kuwajibika kuleta amani Sudan kwa sababu ni wazi katika hali kama hii ya machafuko na serikali kukosa udhibiti kiwango kikubwa cha mafuta kitakuwa kinaibwa na kutoroshwa kutoka Sudan na wawekezaji.