Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,243
- 12,772
Kabla ya vita ya pili ya Dunia, China ilikuwa ikiongozwa chama cha Wakoumitang. Wakiita nchi yao Republic of China. Hawa walikuwa chini ya Kai Shek. Wakoumitang walifanya kazi kubwa sana kuiunganisha China. Wakikomesha wababe wa kivita vurugu zingine. Lakini wakatokea wapinzani wao. Wacommunist chini ya Mao.
Hivyo China ikaingia kwenye civil war. Wakati na karibu na WWII Japan ikaivamia China. Serikali ya wakoumitang ilipigana sana vita dhidi ya wajapan. Huku wacommunist wakiendelea kukua na sometimes wakipgana vita kuzidi kuwadhoofisha wakoumitang. Japo na kwa namna walishiriki kupigana na wajapan.
Baada ya Japan kushindwa vita ya pili ya dunia, wacommunist wa Mao wakaibuka wakiwa na nguvu sana, huku wakoumitang wakiwa hoi kabisa. Basi kwenye muendelezo wa civil war yao, wakoumitang wakashindwa na kukimbilia kisiwa cha Taiwan. Wasomi, matajiri wakakimbia na mali nyingi kwenda Taiwan. Huku nyuma wacommunist wakaunda serikali yao, People republic of China(PRC). Wale waliokimbilia Taiwan wakiendelea kujiita(ROC) na wakidai kuwa wao ndiyo wenye kutawala China yote. Na sehemu ya mpango wao ilikuwa ni kurudi tena kutawala China yote.
Mwanzoni hata UN iliitambuq serikali iliyopo Taiwan kama serikali halali ya China yote. Lakini baadaye wakabadilika, wakiitambua serikali iliyo China bara kama serikali ya China yote.
So huu mgogoro ni muendelezo tu wa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hakuna hero wala villain.
Hivyo China ikaingia kwenye civil war. Wakati na karibu na WWII Japan ikaivamia China. Serikali ya wakoumitang ilipigana sana vita dhidi ya wajapan. Huku wacommunist wakiendelea kukua na sometimes wakipgana vita kuzidi kuwadhoofisha wakoumitang. Japo na kwa namna walishiriki kupigana na wajapan.
Baada ya Japan kushindwa vita ya pili ya dunia, wacommunist wa Mao wakaibuka wakiwa na nguvu sana, huku wakoumitang wakiwa hoi kabisa. Basi kwenye muendelezo wa civil war yao, wakoumitang wakashindwa na kukimbilia kisiwa cha Taiwan. Wasomi, matajiri wakakimbia na mali nyingi kwenda Taiwan. Huku nyuma wacommunist wakaunda serikali yao, People republic of China(PRC). Wale waliokimbilia Taiwan wakiendelea kujiita(ROC) na wakidai kuwa wao ndiyo wenye kutawala China yote. Na sehemu ya mpango wao ilikuwa ni kurudi tena kutawala China yote.
Mwanzoni hata UN iliitambuq serikali iliyopo Taiwan kama serikali halali ya China yote. Lakini baadaye wakabadilika, wakiitambua serikali iliyo China bara kama serikali ya China yote.
So huu mgogoro ni muendelezo tu wa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Hakuna hero wala villain.