jombi95 JF-Expert Member Joined Jul 24, 2016 Posts 1,405 Reaction score 2,187 Aug 27, 2018 #41 Alfred said: Mzee Siku Hizi Kuna MIHOGO, ya ukweli Kinoma Mwanangu jombi95 Atakuelekeza Click to expand... Hahahaha wee mzee nasikia miaka yako ile ulikuwa unakula sehemu za kishua tu Sent using Jamii Forums mobile app
Alfred said: Mzee Siku Hizi Kuna MIHOGO, ya ukweli Kinoma Mwanangu jombi95 Atakuelekeza Click to expand... Hahahaha wee mzee nasikia miaka yako ile ulikuwa unakula sehemu za kishua tu Sent using Jamii Forums mobile app
Alfred JF-Expert Member Joined Apr 13, 2008 Posts 2,171 Reaction score 2,984 Aug 27, 2018 #42 jombi95 said: Hahahaha wee mzee nasikia miaka yako ile ulikuwa unakula sehemu za kishua tu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hahahahaa.. Pa kishua ni wapi vile Pale Mabibo..
jombi95 said: Hahahaha wee mzee nasikia miaka yako ile ulikuwa unakula sehemu za kishua tu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hahahahaa.. Pa kishua ni wapi vile Pale Mabibo..
kifusi boy JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 1,141 Reaction score 1,752 Aug 28, 2018 #43 James Comey said: Mkuu ulijiita kifusi kabisaa hahaaa msalimie mama kifusi Click to expand... Haha yule maza alinizoea sana mpk nikawa mwanae wa hiari ikafikia stage nakula bure kwake.... Kipindi hiko niko 1st yr, sasa wakati nataka kujiunga JF hapa nilipata shida kwenye jina gani nilitumie ndipo nikamkumbuka bi mkubwa wangu Mama Kifusi Noma sana Sent using Jamii Forums mobile app
James Comey said: Mkuu ulijiita kifusi kabisaa hahaaa msalimie mama kifusi Click to expand... Haha yule maza alinizoea sana mpk nikawa mwanae wa hiari ikafikia stage nakula bure kwake.... Kipindi hiko niko 1st yr, sasa wakati nataka kujiunga JF hapa nilipata shida kwenye jina gani nilitumie ndipo nikamkumbuka bi mkubwa wangu Mama Kifusi Noma sana Sent using Jamii Forums mobile app