Chimbo/Migodi ya kula Mabibo Hostel

Mkuu ulijiita kifusi kabisaa hahaaa msalimie mama kifusi
Haha yule maza alinizoea sana mpk nikawa mwanae wa hiari ikafikia stage nakula bure kwake....

Kipindi hiko niko 1st yr, sasa wakati nataka kujiunga JF hapa nilipata shida kwenye jina gani nilitumie ndipo nikamkumbuka bi mkubwa wangu Mama Kifusi

Noma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…