ormystatus
Member
- Nov 3, 2019
- 89
- 176
Nipigie 0713039875 ndio eneo languHabari za mda huu wadau.
Naomba kuuliza wapi naweza pata perfume, mafuta ya nywele na ngozi mazuri kwa bei ya jumla hapa kariakoo.
Na namna uuzaji wao ulivo kama wanauza kwa pc au kupima.
Natanguliza shukrani.
KWENYE SUBJECT NIMEMAANISHA NYWELE NIMESHINDWA KUFANYA EDITING.
Nipigie 0713039875 ndio eneo langu
SawasawaKuna perfumes za kutoka Uturuki ninazo 55mls ncheki inbox
Mzigo huo hapo fresh from kiwandani
0769922210View attachment 1974686View attachment 1974688View attachment 1974687
Haichubui tuna oils, vitamins na buttersBei...
Haichubui??
Napenda vitu asilia.
Husaidia KWENYE KUJUA SURA ZINAZOTAKIWA KUMILIKI MALI!? MAANA NYWEWE ZA RASI ZILITUMIKA KUJENGEA GOROFAHabari za mda huu wadau.
Naomba kuuliza wapi naweza pata perfume, mafuta ya nywele na ngozi mazuri kwa bei ya jumla hapa kariakoo.
Na namna uuzaji wao ulivo kama wanauza kwa pc au kupima.
Natanguliza shukrani.
KWENYE SUBJECT NIMEMAANISHA NYWELE NIMESHINDWA KUFANYA EDITING.
bei gan iyo maana wengine hatuwez chana nywele mpaka tupake mate yan maji😆