Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
nadhani hili la mshahara wa $ 10,000 kwa mwaka lina walakini..pengine kulikuwa na makosa ya kiuchapishaji kwenye chanzo tunachokitumia...haiingii akilini!
Africa tumejaliwa kila kitu kasoro viongozi.
...wala hujakosea mkuu.Si umemuona yule jamaa wa Niger naye pia.
Yaani kila kiongozi ni mwizi hata sijui kama tumelaaniwa ama vipi.
Hapo nakubaliana nawe maana $10K kwa mwaka, kwa prezdo, ni hela
mbuzi sana.I think ingekua labda kwa mwezi.
Hapo nakubaliana nawe maana $10K kwa mwaka, kwa prezdo, ni hela
mbuzi sana.I think ingekua labda kwa mwezi.[/QUOTE
Kumbukeni tunaongelea Africa, enzi ya Chiluba, mara tu baada ya humanist yule wa kuitwa Kaunda. Mimi sishangai, hawa marais hela yao wala haipo kwenye mshahara, kuna ma perks mengine tu.
Hata Marekani graduate wa shule nzuri ya sheria mshahara wake wa kuanzia unazidi wa rais.
Kama mnabisha tafuteni mshahara aliokuwa analipwa muwaandikie NYT kuwarekebisha.
Bluray,
si eti nabisha but I'm just wondering kama the figure is correct.
Kwani if it is then huo ni mshahara mdogo sana kwa rais. Maybe
thats what propelled him to steal like he did.
nadhani hili la mshahara wa $ 10,000 kwa mwaka lina walakini..pengine kulikuwa na makosa ya kiuchapishaji kwenye chanzo tunachokitumia...haiingii akilini!
...Hata Marekani graduate wa shule nzuri ya sheria mshahara wake wa kuanzia unazidi wa rais.
Ina maana hivi sasa kafirisika hadi kutumia mfuko wa Rambo kubebea vifurushi vyake?Angalia pale nyuma ya benchi alilokalia,inatia masikitiko!
Better stay thirsty than to drink poisonous water to heal your thirstif it was for the late Mwanawasa,the trial for the bastard would be fair.but under Rupia Banda,nothing will come out bcause himself is a product of corruption.Banda is with close contacts with the same war lords from Congo who control the the natural resources of Congo.,and the same guyz were the close friends of chiluba.
we have so many mkapas and vikwete in africa
Bluray,
si eti nabisha but I'm just wondering kama the figure is correct.
Kwani if it is then huo ni mshahara mdogo sana kwa rais. Maybe
thats what propelled him to steal like he did.
exactly..
sawa mhitimu wa shule nzuri ya sheria anaweza mzidi rais US kwa mshahara,but ni kiasi gani mshahara wenyewe?
sababu $10K kwa mwaka ni chini ya $ 1000 kwa mwezi...
sijitahidi kuamini..