Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
nadhani hili la mshahara wa $ 10,000 kwa mwaka lina walakini..pengine kulikuwa na makosa ya kiuchapishaji kwenye chanzo tunachokitumia...haiingii akilini!
Hapo nakubaliana nawe maana $10K kwa mwaka, kwa prezdo, ni hela
mbuzi sana.I think ingekua labda kwa mwezi.