Child / Kids mode kwenye simu.

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,553
3,515
Nawasalimu wanajukwaa.
Simu aina ya Vivo imeingia kwenye Child Mode, nikijaribu kuitoa inataka niweke screen lock password wakati sijawahi kulock kwa password na wala sina hiyo password.

Nikienda "Forgot Password" inaleta niweke nitoe jibu la security question wakati sijawahi kuset hiyo question.

Naomba msaada namna ya kutatua hili wakuu. Simu imekuwa kama kopo.
JPEG_20220228_155853_7580736737888241004.jpg
JPEG_20220228_155925_63894696206076168.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom