yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,553
- 3,515
Nawasalimu wanajukwaa.
Simu aina ya Vivo imeingia kwenye Child Mode, nikijaribu kuitoa inataka niweke screen lock password wakati sijawahi kulock kwa password na wala sina hiyo password.
Nikienda "Forgot Password" inaleta niweke nitoe jibu la security question wakati sijawahi kuset hiyo question.
Naomba msaada namna ya kutatua hili wakuu. Simu imekuwa kama kopo.
Simu aina ya Vivo imeingia kwenye Child Mode, nikijaribu kuitoa inataka niweke screen lock password wakati sijawahi kulock kwa password na wala sina hiyo password.
Nikienda "Forgot Password" inaleta niweke nitoe jibu la security question wakati sijawahi kuset hiyo question.
Naomba msaada namna ya kutatua hili wakuu. Simu imekuwa kama kopo.