ULUMI
Member
- May 25, 2011
- 70
- 37
Chifu Humphrey Mashingia ameaga dunia leo asubuhi.Kwa wale wasiomfahamu Chifu Mashingia ni miongoni mwa machifu wa kichagga waliotawazwa udogoni kuongoza eneo la Old Moshi.Ni mwanzilishi wa CHADEMA na amewahi kushika wadhifa wa Mwenyekiti wa Mkoa wa Dar Es Salaam kabla ya kurudi CCM.
Kitaaluma alikuwa Mhandisi(Mechanical Engineer specialised in Weigh bridge Engineering)Ni msomi wa miaka ya sabini.Nyumbani kwake ni Kimara Stop Over upande wa kulia ukielekea Morogoro.Ameacha mjane na watoto watano.Atakumbukwa zaidi kwa uchangamfu wake na wepesi wa ku grasp new ideas and technoloy.Msiba utakuwa hapo hapo nyumbani kwake.
Mungu ailaze pema peponi roho ya Chifu Humphrey Mashingia Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.:israel:
Kitaaluma alikuwa Mhandisi(Mechanical Engineer specialised in Weigh bridge Engineering)Ni msomi wa miaka ya sabini.Nyumbani kwake ni Kimara Stop Over upande wa kulia ukielekea Morogoro.Ameacha mjane na watoto watano.Atakumbukwa zaidi kwa uchangamfu wake na wepesi wa ku grasp new ideas and technoloy.Msiba utakuwa hapo hapo nyumbani kwake.
Mungu ailaze pema peponi roho ya Chifu Humphrey Mashingia Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.:israel: