Zinahusika na nini hizi mbegu
Hizi mbegu zina viini lishe vingi kwa manufaa ya binadamu, Kwa bahati nzuri nimepata maelezo kwa kiswahili kutoka
https://www.facebook.com/ kama ifuatavyo
Matumizi na faida za Chia Seeds.
(- High Fiber content promotes longevity, Omega 3 fatty acids
- Omega 3 Fatty acids for heart functioning and reduce aging acceleration symptoms, contains high antioxidants, energy builder, mantains normal blood sugar abd pressure, improve sleep)
- Inasaidia moyo kufanya kazi yake vyema na kuzuia matatizo yatokanayo na umri unavyosogea.
- Nafaka iliyomo ndani mbegu za Chia inasaidia kufufua seli za mwili na kuziimarisha
-Chia seed inasaidia kusaga chakula katika kiwango kile kinatakiwa na mwili
-Chia seed inaimarisha kinga ya mwili na kukukinga na marathi nyemelezi
- Chia seed inakupa nguvu mwilini
- Inasaidia wenye shida ya sukari na pressure
- Inasaidia kukupa usingizi mzuri
- Inaondoa shida ya tumbo hasa wenye shida kwenye usagajiwa chakula na kutokupata choo
- Chia seed inachoma mafuta magum ya tumbo hivyo itakusaidia kupungua na kuwa imara zaidi
Matumizi
-Asubuhi kabla ya kula chochote weka vijiko viwili vya chakula kwenye kikombe weka maji ya moto ukipenda kamulia limao. Kunywa mchanganyiko huo. Itakupa nguvu na kukushibisha kunywa chai yako baada ya nusu saaa au zaidi.
-Unaweza pikia kwenye chakula chako kama mchuzi wa samaki nyama au kuku
- Inafaaa kuchanganya kwenye uji ,maziwa ,juice maziwa mgando, smoothies, fruit salad, vegetable salad etc
- Unaweza nyunyiza juu ya chakula chako wakati wa kula kama wali ndizi supu etc
- Unavyozidi kutumia ndivyo matokeo utaona kwa haraka
-Chia ni chakula muhimu na adimu sana. Tumia Chia Seeds upate kinga ya mwili imara uepukane na magonjwa sugu.