chezzea kichapo cha skuli eeh

chezzea kichapo cha skuli eeh

Claxx la 6
2meenda kwenye kambi ya jesh tukiongozwa na jamaa fulani hivi ndo lilikuwa kubwa kwetu..
akatwambia anataka atufundishe jinsi ya kulipua mabomu kwenye sehemu moja ambyo huwa wanatumia hao wanajesh kwa mazoezi yao .. Kumbe lengo la jamaa anataka shaba ili tukauze..
da sitosahau kwamba yy alkuwa akiijua vzur eneo hilo..
akatutega kwenye mabom yy akakaa sehem ya kufyatulia..
ktendo cha kumshukulu mungu ni kwamb m1 w2 alipuliziwa na bomu eneo la sikio daa wanakijiji wakasikia wakajua wanajesh wanafanya mazoez

hao wanakjj mala wakasikia ngolo ya jamaa alyepgwa bom

yaan tukawa kama tumechafua hv..
tulifukuzwa na kufanikiwa kukamatwa wote hata hvo tulikuwa na jez za shule tukapelekwa moja kwa moja shule

aisee tulitembezewa
 
tupia kistori kifupi kilichokufanya uchapike skuli kisawasawa
kuna siku nliingia staff nkanywa chai na chapati za tcha wa mathe alinitandika bakora ishirini na tatu mpka wenzangu walinishuku nimemtembelea mchina kwa jins makalio yalivovimba

Dah, basi kuna monita wetu tukiwa darasa la tatu alikua mnoko balaa ila alikua hajui kusoam na kunadika. nakumbuka alimuomba jamaa amuandikie majina ya wapiga kelele, cha kushangaza, jamaa aliandikaa majina ya kaka zake na dada zake tu. Kwa kujiamini si akapeleka yale majina kwa ticha. bala lake nadhani unajua ni nin kilifuata.
 
aaaahahhaaaaa kuna siku tuliitwa watoto wa walimu tuliofeli mitihan weeeee hilo balaaa lake ni utata kila ticha anataka akupige mwingne anasema ooh huyu ni shangazi yangu mwingne huyu ni anko wangu basi tabu tupu eti mtoto wa mwenzio ni wako basi nilikula stiki za kutosha jaman duuuu walivyoniachia nilibeba kabegi kangu ka sport ilikuwa nyekundu najiinua taratibu nguvu zimeniisha daaaaaa nikuwa sipendi bas tu
 
Dah, basi kuna monita wetu tukiwa darasa la tatu alikua mnoko balaa ila alikua hajui kusoam na kunadika. nakumbuka alimuomba jamaa amuandikie majina ya wapiga kelele, cha kushangaza, jamaa aliandikaa majina ya kaka zake na dada zake tu. Kwa kujiamini si akapeleka yale majina kwa ticha. bala lake nadhani unajua ni nin kilifuata.
Kweli darasa la tatu Timbwilitimbwili ...!!
 
Siku moja tulipanga njama ya kuchimba handaki kutoka porini hadi darasani, wakati tunaendelea na zoezi kama siku ya nne hivi mwalimu akajua bwana, sasa wakati tupo mistarini mwalimu akitutawanyisha kwenda darasani alituambia sasa hivi tunaenda mafarasani msome kwa bidii na wale wanaochimba handaki waendelee na kazi yao. Wanafunzi walicheka kweli yaan manake hata wanafunzi walikuwa hawajui.
 
Siku moja tulipanga njama ya kuchimba handaki kutoka porini hadi darasani, wakati tunaendelea na zoezi kama siku ya nne hivi mwalimu akajua bwana, sasa wakati tupo mistarini mwalimu akitutawanyisha kwenda darasani alituambia sasa hivi tunaenda mafarasani msome kwa bidii na wale wanaochimba handaki waendelee na kazi yao. Wanafunzi walicheka kweli yaan manake hata wanafunzi walikuwa hawajui.[/QUOTE
hahahahaaaaaaaa dah darasa la tano hiyo ilikua siku ya ukaguzi nakumbuka alhamisi nahis mnaijua ile song ya " jua latoka hasubuhi kutuangazaaa" basi bhn katika kundi la wachafu nilwemo afu zamu ilikua ya mwalimu mnoko balaa tukaitwa mbele mi nlikua wa mwisho kuchapwa sasa ile natoka tu kuonesha kama sijali hata kama nikichapwa nikastua kijoti kilichofata unakijua
 
Nakumbuka nikiwa darasa la 5 nilikuwa na kioo kidogo, nikiona msichana kasimama nakitupia chini naendelea kuchek muvi na rafk zangu, cku moja kama kawaida nikakitupia chini kuchek yule dada chupi yake imechanika kitu laiv kinaonekana, c nikawaita rafk nao waone ile kuona wakaanza kucheka na kufanya raia kuongezeka c mhusika akashtuka, akaenda moja kwa moja kwa dingi alikuwa mwalimu, ile kutokeza tu wakanitaja, akaita njemba nne wakaninyanyua juu kwa kunishika mikono na miguu af mshua kashika fimbo za mpera, nakumbuka wiki nzima ckuweza kukaa kwenye koch

Hiyo staili ya kubebwa hivo shuleni kwetu tulikuwa tunaiita kindegendege. Ebwana ni hatari manake fimbo zinatua we unajinyonganyonga tu huwezi kujigusa. Nilipigwa hiyo nikiwa la kwanza baada ya kupigan na mwenzangu sintosahau. Ugomvi wenyewe walichochea wa madarasa ya juu...
 
Big up mdau uliyeanzisha huu uzi. Nimecheka sana na wenzangu...
 
nakumbuka class 5 nilikataa kmwagilia bustani asbh, acha tu ilikuwa balaa.....
 
tupia kistori kifupi kilichokufanya uchapike skuli kisawasawa
kuna siku nliingia staff nkanywa chai na chapati za tcha wa mathe alinitandika bakora ishirini na tatu mpka wenzangu walinishuku nimemtembelea mchina kwa jins makalio yalivovimba

Skul life baaaana.. Ni memories nzuri sana
 

Attachments

  • 1400150670735.jpg
    1400150670735.jpg
    41.8 KB · Views: 233
  • 1400150687980.jpg
    1400150687980.jpg
    51.3 KB · Views: 217
Hahaha mi nakumbuka kipnd hcho ukiongea kiswahili unavalishwa li mbao la swahil spka mchana wakat wa kuondoka unatoka mbele unataja aliyekupa nae aliyekupa anamtaja aliyempa dah cku hyo nikaamu nisiongee kiswahil ile mda wa kuenda parad unafka jamaa aliyevaa lile block c akaniita kwa kiswahili na mm bac nikaliendeleza dah c ndo nikaenda nalo parade nilipata moto xana maisha ya shule raha sana aisee v2ko n vng sana
 
Hahaha mi nakumbuka kipnd hcho ukiongea kiswahili unavalishwa li mbao la swahil spka mchana wakat wa kuondoka unatoka mbele unataja aliyekupa nae aliyekupa anamtaja aliyempa dah cku hyo nikaamu nisiongee kiswahil ile mda wa kuenda parad unafka jamaa aliyevaa lile block c akaniita kwa kiswahili na mm bac nikaliendeleza dah c ndo nikaenda nalo parade nilipata moto xana maisha ya shule raha sana aisee v2ko n vng sana


umeona eeh
 
Sintakaa nisahau mwk 1998 kuna siku mwalimu mmoja wa kike wa hesabu aliingia class kabla yangu then wakati mi naingia nikaskia harufu kumbe kuna mtu aliachia ushuz,taratibu nikakaa hlf nikamuuliza mwenzang nani kaachia?akacheka hlf akaniambia hajui au lbd ni ticha nini?sijui akili yangu ilikuaje mara nikamuuliza "mwalimu eti umeachia" akasema kwa sauti nini? Nikasema kwa mkato mkato U.m.e.jamb...eti? Yule mwenzangu akainama chini ya dawati,yule mwalm aliita wenzake wawili akasingizia nimemtukana...we hivyo viboko..
 
aaaahahhaaaaa kuna siku tuliitwa watoto wa walimu tuliofeli mitihan weeeee hilo balaaa lake ni utata kila ticha anataka akupige mwingne anasema ooh huyu ni shangazi yangu mwingne huyu ni anko wangu basi tabu tupu eti mtoto wa mwenzio ni wako basi nilikula stiki za kutosha jaman duuuu walivyoniachia nilibeba kabegi kangu ka sport ilikuwa nyekundu najiinua taratibu nguvu zimeniisha daaaaaa nikuwa sipendi bas tu

Dah umenikumbusha mbali na kibegi cha sport,hivi bado vipo?
 
Sintakaa nisahau mwk 1998 kuna siku mwalimu mmoja wa kike wa hesabu aliingia class kabla yangu then wakati mi naingia nikaskia harufu kumbe kuna mtu aliachia ushuz,taratibu nikakaa hlf nikamuuliza mwenzang nani kaachia?akacheka hlf akaniambia hajui au lbd ni ticha nini?sijui akili yangu ilikuaje mara nikamuuliza "mwalimu eti umeachia" akasema kwa sauti nini? Nikasema kwa mkato mkato U.m.e.jamb...eti? Yule mwenzangu akainama chini ya dawati,yule mwalm aliita wenzake wawili akasingizia nimemtukana...we hivyo viboko..

hahahahaha umetisha shem
 
Back
Top Bottom