Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 747
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station. "Naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7,ATM Card na karatasi yenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu".
Mtangazaji akasema: Akhasante, kwahiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anasikiliza?
Juma: Hapana, ningependa kumuombea dedication wimbo wa "R.Kell-U saved me" umfikie popote alipo.:heh::heh::heh:
Mtangazaji akasema: Akhasante, kwahiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anasikiliza?
Juma: Hapana, ningependa kumuombea dedication wimbo wa "R.Kell-U saved me" umfikie popote alipo.:heh::heh::heh: