Chezea Mwalimu uwe taahira milele....

Manyanza

Platinum Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
20,292
Reaction score
48,633
Baada ya mgomo wa waalimu kuwa batili, Waalimu sasa wanaamua kuwalisha sumu wanafunzi...
Mwanafunzi: please maadam how many types of coffee do we have in Africa?
Teacher: (kwa hasira) Two...
1.coffee annan
2.coffee olomide
Chezea Mwalimu uwe taahira maisha yako yote...
 
Mwalimu yuko sahihi kabisa huwenda yeye alidhani watu wenye majina ya coffee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…