Cheti cha University kimeokotwa

mbona maisha rahisi sana chukuwa jina kaliingize fb utampata muhusika
 
Wengine hawatumii majina yao mkuu.....wanatumia ya mjini
mkuu sizani msomi kama Huyo atakuwa na akili wajinga maana watu wengi wanaotumia majina ya kimjini mjini elimu yao ni 4m4 waliopata ziro na wale Wa dara la saba ambao kula kulala ni kwa mama na baba wao ni kupiga picha na kuposti ww Fanya uchunguzi ndo utaamini ninachokuambia
 
mbona maisha rahisi sana chukuwa jina kaliingize fb utampata muhusika
Sio rahisi kama unavyofikiria,hayo majina unaweza kukuta yanafanana na watu wengine pia,kumbuka majina yetu sio unique au unakua na hatimiliki nalo wewe peke yako tu.
 
aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…