Cheti cha kuzaliwa

mseso

New Member
Joined
Mar 12, 2024
Posts
2
Reaction score
1
Nilikuwa naomba cheti kipya cha kuzaliwa ila nilivyofika kwenye kuweka attachment naambiwa vinatakiwa signed attachments sasa sielewi hizo signed zipoje kwasababu hizi za kawaida nilizonazo zinakataa
 
Nilikuwa naomba cheti kipya cha kuzaliwa ila nilivyofika kwenye kuweka attachment naambiwa vinatakiwa signed attachments sasa sielewi hizo signed zipoje kwasababu hizi za kawaida nilizonazo zinakataa
Kwan unataka ku attach n nan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…