BigBro JF-Expert Member Jan 9, 2010 3,215 9,879 May 3, 2016 #2 Pamoja na yote hawa madereva wa STK, STL na SU wanajifanyaga ndiokilakitu barabarani
Horseshoe Arch JF-Expert Member Aug 10, 2009 13,139 12,286 May 3, 2016 #3 Mr Hero said: Click to expand...
Bailly5 JF-Expert Member Mar 11, 2015 16,364 35,006 May 3, 2016 #4 Basi sawa. Watu wanacheza na fursa
Mr Hero JF-Expert Member Jun 11, 2015 5,542 7,450 May 3, 2016 Thread starter #5 Th Name said: Basi sawa. Watu wanacheza na fursa Click to expand... Mbona tutakoma na traffic, wamelipiza yule mwenzao aliepokea rushwa tanga akarekodiwa
Th Name said: Basi sawa. Watu wanacheza na fursa Click to expand... Mbona tutakoma na traffic, wamelipiza yule mwenzao aliepokea rushwa tanga akarekodiwa
Bailly5 JF-Expert Member Mar 11, 2015 16,364 35,006 May 3, 2016 #6 Mr Hero said: Mbona tutakoma na traffic, wamelipiza yule mwenzao aliepokea rushwa tanga akarekodiwa Click to expand... Mwendo wa visasi tu. Kuna mengi yanakuja nahisi
Mr Hero said: Mbona tutakoma na traffic, wamelipiza yule mwenzao aliepokea rushwa tanga akarekodiwa Click to expand... Mwendo wa visasi tu. Kuna mengi yanakuja nahisi
mtebetini JF-Expert Member Jul 5, 2015 1,924 2,035 May 3, 2016 #7 Tufate sheria bila shuruti hakuna wa kuonewa. -Funga mkanda -usiende kasi mwendo kasi ni hatari -Usilipite gari la mbele unapokatazwa kufanya hivyo. -Fata sheria za usalama barabarani hutaonewa.
Tufate sheria bila shuruti hakuna wa kuonewa. -Funga mkanda -usiende kasi mwendo kasi ni hatari -Usilipite gari la mbele unapokatazwa kufanya hivyo. -Fata sheria za usalama barabarani hutaonewa.
1 1954 JF-Expert Member Nov 14, 2006 11,185 13,529 May 3, 2016 #8 BigBro said: Pamoja na yote hawa madereva wa STK, STL na SU wanajifanyaga ndiokilakitu barabarani Click to expand... UMESEMA kweli kabisa....Hata wakielezwa wajirekebishe barabrani huwa hawasikii kabisa, sijui kwanini...
BigBro said: Pamoja na yote hawa madereva wa STK, STL na SU wanajifanyaga ndiokilakitu barabarani Click to expand... UMESEMA kweli kabisa....Hata wakielezwa wajirekebishe barabrani huwa hawasikii kabisa, sijui kwanini...