Rais Magufuli kaudhihirishia umma wa Watanzania kwamba mke wa Rais SIO 'Naibu Rais.'Na wala si sehemu ya taasisi ya Urais.Na pia kuwa mke wa Rais si fursa ya kujitengenezea taasisi uchwara za ulaji.
Rais Magufuli kaudhihirishia umma wa Watanzania kwamba mke wa Rais SIO 'Naibu Rais.'Na wala si sehemu ya taasisi ya Urais.Na pia kuwa mke wa Rais si fursa ya kujitengenezea taasisi uchwara za ulaji.
Yaani sijui nikupe like kama 7x70. Rais akisafiri na first lady alikuwemo kwenye msafara na akifika kule anaelezea matatizo ya wanawake na watoto wa Tanzania hela anayovuta huko hakuna mtu anajua. Baada ya muda waandishi wa habari wanaitwa Muhimbili first lady anachangia vitanda vya wagonjwa picha zinapigwa na zinapamba magazeti. Usanii mtumpu. Pombe amekomesha matatizo ya vitanda kwa kubana sherehe moja tu ya wabunge.
Mkuu Kawaida2 hebu tulia kwanza Mke wa Mhe Rais Magufuli jina lake ni Bii Janet,Bii Regina ni mke wa mtu mwingine soma vizuri post zote huyu jamaa kakuchuuza
kwani kipo kikatiba?salima alikua mpiga dili tu kama mume wake,alikua anajiona ye ndo naibu rais.Alaf urais wa mumewe uliku wa heshima kama uprofeseri wake