thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Naona hujaelewa ,aidha kwa makusudi au upendo kwa mnyika umezidithetallest ,
..hoja yako ingekuwa na maana kama Mh.Chenge angekuwa siyo mwana-ccm na hafanyi kazi ya kuilinda na kuitetea serekali ya ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app