Observation yako ni nzuri, huyu Chenge ana washughulikia wale wanaopinga ufisadi! JPM na CCM wasitegemee jema lolote toka kwa Chenge.Wote tunaikumbuka nguvu ya Lowassa ndani ya CCM ilianza kama masihara matokeo yake Lowassa akakuwa mpaka akafikia hatua akawa kama untouchable licha ya kuwa na kashfa za ufisadi lakini nguvu yake ilikuwa kubwa kiasi cha kukitikisa chama.
Naiona hiyo nguvu pia anaanza kuwa nayo Mtemi Chenge akiwa mwenyekiti wa bunge amekuwa na sauti kuliko ata spika na naibu wake kiasi cha kufukuza mpaka mbunge kikaoni.
Wasiwasi wangu ni kuwa CCM haswa wabunge wake wanatutengenezea Lowassa mpya maana ni wazi Chenge kapata uenyekiti wa bunge baada ya kuchaguliwa na wabunge haswa wa CCM. Sielewi haswa mapenzi ya wabunge wa ccm kwa Chenge yalitoka wapi au labda ni nguvu ya vijisenti ila kwa kweli katika vitu vinavysikitisha ni hili la Chenge kuwa mwenyekiti wa bunge na kuwa anafanya maamuzi haswa yanayousiaana na rushwa ikiwa yeye alikamatwa 'ready handed' na SFO kwenye ishu ya rada.
Nashauri Magufuli awe makini sana na huyu mtu anakuwa taratibu na anapata moral authority ya kushughulikia wanaotoa tuhuma za rushwa. Najua Magufuli awezi kupingana na maamuzi ya wabunge wake ila muda sio mrefu anakabidhiwa rungu la uenyekiti wa chama awa ndio majipu ya chama.
La sivyo ufisadi utakuwa ni wimbo wa kisiasa tu kama wapinzani walivyompa mtuhumiwa wa ufisadi kugombea urais na ccm mnampa mtuhumiwa wa ufisadi kuliongoza Bunge.
kwa hiyo kuwa mbombezi wa sheria ni siraha ya kuwa fisadi kuu hii ndio sifa kuu ya CCM.eti lowassa alikuwa na nguvu,nguvu gani hiyo??na chenge kachaguliwa pale kwa kuwa ni mbobezi katika sheria
silaha=sirahakwa hiyo kuwa mbombezi wa sheria ni siraha ya kuwa fisadi kuu hii ndio sifa kuu ya CCM.
ufisadi kaambukizwa na ccm , unaonekana mkichwa chako kuna figisufigisu maana utulizi akili.silaha=siraha
acha ujinga kwani lowassa ni mbobezi wa sheria lakini mbona nalo nilifisadi???
Kwani ukumbuki kuwa gamba lake lilikwamia kiunoni!Wote tunaikumbuka nguvu ya Lowassa ndani ya CCM ilianza kama masihara matokeo yake Lowassa akakuwa mpaka akafikia hatua akawa kama untouchable licha ya kuwa na kashfa za ufisadi lakini nguvu yake ilikuwa kubwa kiasi cha kukitikisa chama.
Naiona hiyo nguvu pia anaanza kuwa nayo Mtemi Chenge akiwa mwenyekiti wa bunge amekuwa na sauti kuliko ata spika na naibu wake kiasi cha kufukuza mpaka mbunge kikaoni.
Wasiwasi wangu ni kuwa CCM haswa wabunge wake wanatutengenezea Lowassa mpya maana ni wazi Chenge kapata uenyekiti wa bunge baada ya kuchaguliwa na wabunge haswa wa CCM. Sielewi haswa mapenzi ya wabunge wa ccm kwa Chenge yalitoka wapi au labda ni nguvu ya vijisenti ila kwa kweli katika vitu vinavysikitisha ni hili la Chenge kuwa mwenyekiti wa bunge na kuwa anafanya maamuzi haswa yanayousiaana na rushwa ikiwa yeye alikamatwa 'ready handed' na SFO kwenye ishu ya rada.
Nashauri Magufuli awe makini sana na huyu mtu anakuwa taratibu na anapata moral authority ya kushughulikia wanaotoa tuhuma za rushwa. Najua Magufuli awezi kupingana na maamuzi ya wabunge wake ila muda sio mrefu anakabidhiwa rungu la uenyekiti wa chama awa ndio majipu ya chama.
La sivyo ufisadi utakuwa ni wimbo wa kisiasa tu kama wapinzani walivyompa mtuhumiwa wa ufisadi kugombea urais na ccm mnampa mtuhumiwa wa ufisadi kuliongoza Bunge.
Acheni unazi. SFO ndio walikuwa wa kwanza kumsafisha chenge hata kabla ya takukuru. Huwa mnasoma wapi nyie. Mmekalia majungu tu kafanye kazi upate kipato badala ya mjadala ambao haukupatii hata supuSFO wanatuangalia na kutudharau sana, maana wana file la Chenge na jinsi alivyihusika kwy ufisadi wakati wa ununuzi wa Rada, wanatuona watanzania wote ni PIMBI tu!
Wewe ndiyo unamsafisha,bila sabuni !Acheni unazi. SFO ndio walikuwa wa kwanza kumsafisha chenge hata kabla ya takukuru. Huwa mnasoma wapi nyie. Mmekalia majungu tu kafanye kazi upate kipato badala ya mjadala ambao haukupatii hata supu
Mtoa mada acha kupotosha watu, Lowasa hakuwa na nguvu yoyote, ila alikuwa bingwa Wa maigizo.
Wanafunzi, wazee, mashehe na wachungaji feki kwenda kumshawishi eti agombee urai
s .
Umekwisha sema alikuwa''bingwa wa maigizo''.Kama hujui hiyo ndiyo nguvu yenyewe .Utakuwa mtu wa ajabu kama mtu dhaifu unamuita bingwa!!
Sfo na takukuru sio mm. Pitia kesi ya BAE systems vs SFO. Anzia preceedings hadi judgment. Usibweke bila dataWewe ndiyo unamsafisha,bila sabuni !
Kama wewe ni miongoni mwa watanzania wanaamini kuwa Chenge ni msafi na tuhuma zinazomkabili ni za kusingiziwa na anaonewa tu,sina haja ya kubishana nawe!kwasababu itakuwa ni tatizo la uelewa wa mambo!Sfo na takukuru sio mm. Pitia kesi ya BAE systems vs SFO. Anzia preceedings hadi judgment. Usibweke bila data