Pepo shindwaaaa na ulegeee..Mtu mzima bawacha mzima hata matumizi ya mabano hujui halafu unataka kutunga uongo wa kipuuzi kama huu nani atakuelewa.
Pepo tokaaaaaaaaa..Lumumba chama cha mapepoFrenk wewe ni wakala wa shetani tena shetani aliye laaniwa unawezaje kusema uongo bila aibu mikutano yote ya mzee chenge mimi nilikuwepo tangu kata ya Isanga hadi leo kata ya Sapiwi amepokelewa kama mflume na wapiga kura wake na hajafanya mkutano Mwakibuga kama unavyo sema wewe kama umetumwa nakupatia pole mzee chenge ana nguvu sana Bariadi na mwaka kesho atashinda kwa kishindo mwambie aliye kutuma imekula kwako shetani mkubwa usiye kuwa na aibu!
Simiyu yetu atakuja kudai hii habari si ya kweli na alikuwepo hapo!
Frenk wewe ni wakala wa shetani tena shetani aliye laaniwa unawezaje kusema uongo bila aibu mikutano yote ya mzee chenge mimi nilikuwepo tangu kata ya Isanga hadi leo kata ya Sapiwi amepokelewa kama mflume na wapiga kura wake na hajafanya mkutano Mwakibuga kama unavyo sema wewe kama umetumwa nakupatia pole mzee chenge ana nguvu sana Bariadi na mwaka kesho atashinda kwa kishindo mwambie aliye kutuma imekula kwako shetani mkubwa usiye kuwa na aibu!
Kila mwana ccm ni mfalme?Frenk wewe ni wakala wa shetani tena shetani aliye laaniwa unawezaje kusema uongo bila aibu mikutano yote ya mzee chenge mimi nilikuwepo tangu kata ya Isanga hadi leo kata ya Sapiwi amepokelewa kama mflume na wapiga kura wake na hajafanya mkutano Mwakibuga kama unavyo sema wewe kama umetumwa nakupatia pole mzee chenge ana nguvu sana Bariadi na mwaka kesho atashinda kwa kishindo mwambie aliye kutuma imekula kwako shetani mkubwa usiye kuwa na aibu!
Kweli hakuna marefu yasiyo na ncha kwa mbaali namuona Chenge yuko Mahakamani. Shaidi mkapa. Haha.
Ni kweli nasikiq kaondolewa kwa msaada wa FFU,
Mwakibuga ni kijiji kilichopo jimboni kwake Bariadi mashariki.
Shuhuda anasema, zomea zomea ilianza chini chini na yeye akaanza kutumia lugha ya kuudhi na kuwadharau CHADEMA.
Ndipo zomea zomea ilipamba moto mbaya zaid waiozomea walikuwa wamevalia nguo za maccm za kijani kama kawaida yao.
Je!ccm imeanza kuchokwa bariadi mark ama ni Chenge mwenyewe?
nikijiji chenye zaidi ya wakaazi 4000 tena ilikuwa ngome ya ccm!....2015 chenge ajiandae kisaikolojia
Mtu mzima bawacha mzima hata matumizi ya mabano hujui halafu unataka kutunga uongo wa kipuuzi kama huu nani atakuelewa.
Heee...inamaana Chenge bado anautaka ubunge? Ntaambulia aibu kama hamwezi kusoma alama za nyakati. Wimbo wa sasa ni chadema mkobozi 2015! Jifunze kuzijua nyakati na heshima yenu itadumu.
Frenk wewe ni wakala wa shetani tena shetani aliye laaniwa unawezaje kusema uongo bila aibu mikutano yote ya mzee chenge mimi nilikuwepo tangu kata ya Isanga hadi leo kata ya Sapiwi amepokelewa kama mflume na wapiga kura wake na hajafanya mkutano Mwakibuga kama unavyo sema wewe kama umetumwa nakupatia pole mzee chenge ana nguvu sana Bariadi na mwaka kesho atashinda kwa kishindo mwambie aliye kutuma imekula kwako shetani mkubwa usiye kuwa na aibu!
wasukuma walishajitambua siku nyingi ndiyo maana wabunge wengi wa upinzani wanatoka huko, ndugu zangu hawa wamenyanyasika sana na mdudu ccm..huwa wanalazimishwa kulima pamba halafu serikali kwa kushirikiana na mafisadi ya ccm hupanga bei ya kununua...
Miongoni mwa majimbo yaliyowazi ni hili.
Kama Chadema hawajapata mgombea nina jamaa yangu naona anafaa ni injinia wa ujenzi mtu wa Dutwa.