Wacha tuugeuze huu mfano kwenye elfu kumi pesa tuweke mbuzi milioni moja
.haya tuanze upya.
Umeenda ukweni ukaambiwa zinatakiwa mbuzi 1ml.
Ukaenda kwa bro akakupa 500k mbuzi,dada 500k mbuzi.uliporudi kwa mshenga akakujuza kwamba mahari imepunguza mpaka 9700k,ukabaki na mbuzi 30k.
Ukaona hapana wacha nishushe deni kidogo,ukatoa 10000 kwa dada,10000 kwa kaka.kwako wakabaki 1000.
Kimsingi deni lililobaki kwa kila mmoja ni 490k mbuzi.haya tuchukue mbuzi 490k+490k=mbuzi 980k.kanunue mbuzi laki 980k ukalipe,mimi nitakuulizia wale mbuzi elfu moja uliobaki nao,ni faida au ni chenji!!!!
Hata tukisema alikopa 4900 muda huo huo,si 5000 bado hesabu hazikuli.