Chemsha bongo

Chemsha bongo

Yusuph Salehe

Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
58
Reaction score
1
Habari zenu wanaJF Leo nimekuja na swali tujadiliane NI KITU GANI AMBACHO KILA MWANADAMU ANAKIOGOPA KATIKA MAISHA YAKE YA KILA SIKU HAPA DUNIANI? Kwa sababu nimeambiwa kunakitu ambacho kila mwanadamu anakiogopa.
Tujadiliane
 
If you have Jesus Christ, there is none to fear.
 
Kuna vitu vingi si kimoja tu,ila KIFO ndio hofu kuu. Pamoja na hiyo uoga wa kutokuwa na mali/utajiri hasa kwa vijana upo,hofu ya kukataliwa na kuhisi huthaminiki vipo pia. Lakini usiogope-unamwamini Mungu? Then hakuna kuogopa.
 
Back
Top Bottom