Chemsha bongo yangu ya leo jamani

Mzizi hiyo inaitwa NGALAWA, na hizo fimbo zilizowekwa hapo juu zinaitwa pondo kazi yake ni kusukuma chombo hicho kinapokua katika kina kifupi cha maji. Pia naona katika kati kuna tundu nakumbuka linaitwa FOROMALI maalum kwa ajili ya kuwekea Tanga.
 
Hiyo ni meli ya titanic iliyozama kipindi hujazaliwa imeibukia pwani
 
Mi nawasoma tu, kwetu Singida hakunaga...
 
Nawewe kumbe unatenbelea fukwe zetu? Hongera au umechukua tu picha some ware?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…