'Chemical Ali' ahukumiwa kunyongwa!

Kuhusu chanzo cha ICC mimi nimechukua mtazamo kama mwalimu wa
Historia na arguments zangu hata nilipokua college nilikua nabisha hivyo.
Technicalities are based on the names. Zile Nuremberg trials za baada
ya WW II were a mirror image of the ICC...ICJ/ICC kwangu ni kitu kimoja.
Nakumbuka nikimwambia lecturer wangu kua League of Nations na United
Nations is just the same thing..difference ni jina na mahala headquarters
ilipo. Hata hivyo I understand where you are coming from.

Asante, nadhani kwa jumla tuko pamoja.
Ila tu kuhusu taasisi hizi kuna tofauti. Maana ina sababu ya kwamba [ame="http://sw.wikipedia.org/wiki/Shirikisho_la_Mataifa"]Shirikisho la Mataifa[/ame] lilifutwa na [ame="http://sw.wikipedia.org/wiki/Umoja_wa_Mataifa"]Umoja wa Mataifa[/ame] kuundwa upya 1945. Ni kweli ni kama ngazi za kufuatana hata hivyo ngazi mpya ni kitu kipya.

Maana wengi hatupendi kuchanganywa na babu yetu.

Tofauti kati ya ICC na ICJ ni kama vile kati ya mahakama ya jinai na mahakama ya kibiashara au kesi za kiraia.
 
Mkuu,

Habari za mwaka mpya?Welcome back.

Hilo swali umeuliza is very justified nami pia niliuliza na nikapewa jibu.
Most of the time hawa jamaa wa ICC mpaka waalikwe ndani ya nchi
husika kabla hawajaanza kesi zao.In this case of Iraq, Marekani ndio
wamekua waki-run the show so to speak na they are not signatories
wa ICC.

Kwa hivyo they decided to orchestra the whole thing inside Iraq with
the local judiciary system having the final say.

Nadhani maelezo yangu yametosheleza swali lako.

Shukran.
Labda kwa kuwa hii mahakama ya ulimwengu (dunia) haina hukumu za kunyonga watu.... ndio maana hawakupeleka mashtaka uko...!
 
Labda kwa kuwa hii mahakama ya ulimwengu (dunia) haina hukumu za kunyonga watu.... ndio maana hawakupeleka mashtaka uko...!

Je umeelewa kanuni za ICC?? Kanuni zake zinakataza kuendesha kesi yake ICC kwa sababu jinai zilitokea kabla ya kuundwa kwa ICC.
 
Labda kwa kuwa hii mahakama ya ulimwengu (dunia) haina hukumu za kunyonga watu.... ndio maana hawakupeleka mashtaka uko...!

La mkuu,

Mwenzetu Kipala anatoa taarifa safi kuhusu hii ishu.
It's about Jurisdiction.

Ab-Titchaz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom