Cheki maajabu ya Mungu

Cheki maajabu ya Mungu

Sanoyet

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
1,323
Reaction score
295
Hakuna nani wala nani,wote chooni! uwe maskini au tajiri,wote chooni! hakuna umashuhuri wala nini,wote chooni! uwe rais au mbunge,wote chooni! uwe sharo au mrembo,wote chooni! uwe maarufu km wewe au si maarufu km mimi,wote chooni! Asante Mungu kwa kuonesha maajabu yako ya usawa! hakuna mimi wala wewe unayesoma post hii,wote chooni! kama hujaenda chooni leo niPM,kama umeenda kausha!!!!!
 
Hakuna nani wala nani,wote chooni! uwe maskini au tajiri,wote chooni! hakuna umashuhuri wala nini,wote chooni! uwe rais au mbunge,wote chooni! uwe sharo au mrembo,wote chooni! uwe maarufu km wewe au si maarufu km mimi,wote chooni! Asante Mungu kwa kuonesha maajabu yako ya usawa! hakuna mimi wala wewe unayesoma post hii,wote chooni! kama hujaenda chooni leo niPM,kama umeenda kausha!!!!!

Choo ndio nini?
 
Hakuna nani wala nani,wote chooni! uwe maskini au tajiri,wote chooni! hakuna umashuhuri wala nini,wote chooni! uwe rais au mbunge,wote chooni! uwe sharo au mrembo,wote chooni! uwe maarufu km wewe au si maarufu km mimi,wote chooni! Asante Mungu kwa kuonesha maajabu yako ya usawa! hakuna mimi wala wewe unayesoma post hii,wote chooni! kama hujaenda chooni leo niPM,kama umeenda kausha!!!!!
Mmh.... post nyingine bana...

Unaacha kustaajabu mambo ya msingi ukuu wa Mungu, kama maajabu ya uumbaji wa dunia na viumbe wake waliomo duniani pamoja na sayari na nyota zisizojulukana idadi yake kwa upeo wa akili za kibibadamu, wewe unastajaabia mambo ya MSALANI pekee!!
 
by this post mleta mada atakuwa anakandamiza ulabu si bure!
 
Kwa hakika kila mtu ana aina fulani ya uchizi lakini tukubaliane kuwa wengine wana uchizi wenye viwango vya hali ya juu, wengine wehu, wengine wenda'zimu kabisa, wengine hawasemeki.
 
Chooni!! unamaanisha choo kipi? Haya mimi najifanya nimekuelewa sijui wenye choo watakuelewaje.
 
Hakuna nani wala nani,wote chooni! uwe maskini au tajiri,wote chooni! hakuna umashuhuri wala nini,wote chooni! uwe rais au mbunge,wote chooni! uwe sharo au mrembo,wote chooni! uwe maarufu km wewe au si maarufu km mimi,wote chooni! Asante Mungu kwa kuonesha maajabu yako ya usawa! hakuna mimi wala wewe unayesoma post hii,wote chooni! kama hujaenda chooni leo niPM,kama umeenda kausha!!!!!
umesahau na wote maradhi na kifo
 
Hakuna nani wala nani,wote chooni! uwe maskini au tajiri,wote chooni! hakuna umashuhuri wala nini,wote chooni! uwe rais au mbunge,wote chooni! uwe sharo au mrembo,wote chooni! uwe maarufu km wewe au si maarufu km mimi,wote chooni! Asante Mungu kwa kuonesha maajabu yako ya usawa! hakuna mimi wala wewe unayesoma post hii,wote chooni! kama hujaenda chooni leo niPM,kama umeenda kausha!!!!!

Kwani nani kabisha! Masikini ndiyp huwa tunatafuta faraja kwa vitu kama hivyo, sentensi kama hizo. Lakini hata vyoo vina viwango, kuna vyoo vinakwenda mpaka over a million! Kuna choo cha shimo, sawa vyote ni vyoo, lakini......
 
Kwa hakika kila mtu ana aina fulani ya uchizi lakini tukubaliane kuwa wengine wana uchizi wenye viwango vya hali ya juu, wengine wehu, wengine wenda'zimu kabisa, wengine hawasemeki.

Wewe wa aina gani kati ya haoo???
 
mama muuza ongeza wazuki kwa hiyo meza ya mleta mada kwa.bili yangu
 
Back
Top Bottom