Cheki jinsi upinzani wanavyovuna wapiga kura bila kufanya kazi

moesy

JF-Expert Member
Oct 30, 2012
3,555
3,529
Adi kufikia march 2016 ubao wa matokeo ulikuwa unasomeka :CCM 85 % : Upinzani 15%. Ahsante baba JPM kuongeza idadi ya wapiga kura kwa CCM ,Mara baada ya uchaguzi mkuu. Kwa sasa ni masikitiko ubao wa matokeo umebadilika sana na mechi ndio kwanza nianza kwani adi 2020 sijui itakuwaje kwa makosa yakizembe tunayofanya adi kupoteza wapiga kura wengi hivi.

Huwezi amini,ukweli unauma ubao adi Leo hii 1/6/2916,, ni CCM 55%: UPINZANi 45%. yaani kutoka 85% adi 55% ndani ya miezi 3 na safari 2020 ndio inaanza,,dah inaumaa. Na kinachohuma zaidi na zaidi tunapoteza kwa kufanya mambo ya kizembe tena uzembe wa kitoto. Tuache ubishi inshu ya sukari na bunge live imetutupotezea kwa sana. Kabla hata hatujasahau makosa ya sukari na bunge live, tunafanya kosa lingine kubwa LA karne kwa kuwapa Massa 24 wanafunzi wa UDOM utazani in wahalifu.

Upinzani wametumia uzaifu huu wa serikali kushindwa kutumia busara na kujipatia uungwaji mkubwa mkono toka kwa wananchi. Kwa wale wanafunzi takribani 7000 , kila mwanafunzi ameungwa mkono na watu 10 toka CCM kupinga na kukasilishwa na jinsi serikali ilivyotatua jambo hili. 7000*10=70,000.,usishangae CCM tukawa tumepoteza wanachama elfu sabini kwa inshu ya UDOM pekee. Lazima tuwe wakweli naibu spika alichemka sana kuzuia jambo hili kujadiliwa bungeni,kwa jambo ambalo ata kama lingejadiliwa lisingeleta hatari mbaya kwa serikali/CCM.

Naibu spika soma alama za nyakati wewe ni msomi level ya PhD utaongozaje bunge kwa kupokea maelekezo toka nje?tena maelekezo mabovumabovu. Ebu tendea haki elimu yako basi, tofauti na apo anguko kubwa LA kisiasa linakuja kwako kwa kasi kubwa.
 
Adi kufikia march 2016 ubao wa matokeo ulikuwa unasomeka :CCM 85 % : Upinzani 15%.
Ahsante baba JPM kuongeza idadi ya wapiga kura kwa CCM ,Mara baada ya uchaguzi mkuu.
Kwa sasa ni masikitiko ubao wa matokeo umebadilika sana na mechi ndio kwanza nianza kwani adi 2020 sijui itakuwaje kwa makosa yakizembe tunayofanya adi kupoteza wapiga kura wengi hivi.
Huwezi amini,ukweli unauma ubao adi Leo hii 1/6/2916,, ni CCM 55%: UPINZANi 45%.
yaani kutoka 85% adi 55% ndani ya miezi 3 na safari 2020 ndio inaanza,,dah inaumaa.
Na kinachohuma zaidi na zaidi tunapoteza kwa kufanya mambo ya kizembe tena uzembe wa kitoto.
Tuache ubishi inshu ya sukari na bunge live imetutupotezea kwa sana.
Kabla hata hatujasahau makosa ya sukari na bunge live, tunafanya kosa lingine kubwa LA karne kwa kuwapa Massa 24 wanafunzi wa UDOM utazani in wahalifu.
Upinzani wametumia uzaifu huu wa serikali kushindwa kutumia busara na kujipatia uungwaji mkubwa mkono toka kwa wananchi.
Kwa wale wanafunzi takribani 7000 , kila mwanafunzi ameungwa mkono na watu 10 toka CCM kupinga na kukasilishwa na jinsi serikali ilivyotatua jambo hili.
7000*10=70,000.,usishangae CCM tukawa tumepoteza wanachama elfu sabini kwa inshu ya UDOM pekee.
Lazima tuwe wakweli naibu spika alichemka sana kuzuia jambo hili kujadiliwa bungeni,kwa jambo ambalo ata kama lingejadiliwa lisingeleta hatari mbaya kwa serikali/CCM.
Naibu spika soma alama za nyakati wewe ni msomi level ya PhD utaongozaje bunge kwa kupokea maelekezo toka nje?tena maelekezo mabovumabovu. Ebu tendea haki elimu yako basi, tofauti na apo anguko kubwa LA kisiasa linakuja kwako kwa kasi kubwa.
huo ubao unaosoma wewe labda uko monduli.
 
Ccm inajifia taratibu bila wao kujua na akisha pewa umwenyekiti JPM ndyo inaelekea kibra kabisa
 
Nadhani mletamada ni subscriber wa " matokeo ya tafiti"
1464796080053.jpg
 
Bado sijaelewa.
Naamini ccm imara inakuja chini ya mwenyekiti wa chama Dr Magufuli.

Sio kwamba sipendi upinzani bali napenda Upinzani imara na CCM imara.
Ikiwa hivyo nchi yetu itasonga mbele zaidi.
Uwezi kua imara kwa kukiuka katiba na sheria,utakua imara pale utakapomshinda mpinzani wako kwa uhalali wa hoja nzito na sio kupindisha sheria ukasema wewe ni imara.
 
Napingana na wewe , kwanza ccm haikuwahi kuwa 85% , kwa lipi hasa ? Kumshughulikia raia Masamaki na kumwacha Muhongo ? unatakiwa kujua kwamba kwenye utawala huu zaidi ya nusu ya mawaziri walikuwepo kwenye utawala wa Jk , ule utawala ambao hata shetani ameushangaa , wana jipya gani ?

Kingine ni kwamba mpaka sasa UKAWA wana 65% na siyo 45% ulizowapa wewe , na hii ni kwa Tanganyika tu , ukienda Zanzibar UKAWA 95% CCM na Hamad Rashid 5%
 
Adi kufikia march 2016 ubao wa matokeo ulikuwa unasomeka :CCM 85 % : Upinzani 15%. Ahsante baba JPM kuongeza idadi ya wapiga kura kwa CCM ,Mara baada ya uchaguzi mkuu. Kwa sasa ni masikitiko ubao wa matokeo umebadilika sana na mechi ndio kwanza nianza kwani adi 2020 sijui itakuwaje kwa makosa yakizembe tunayofanya adi kupoteza wapiga kura wengi hivi.

Huwezi amini,ukweli unauma ubao adi Leo hii 1/6/2916,, ni CCM 55%: UPINZANi 45%. yaani kutoka 85% adi 55% ndani ya miezi 3 na safari 2020 ndio inaanza,,dah inaumaa. Na kinachohuma zaidi na zaidi tunapoteza kwa kufanya mambo ya kizembe tena uzembe wa kitoto. Tuache ubishi inshu ya sukari na bunge live imetutupotezea kwa sana. Kabla hata hatujasahau makosa ya sukari na bunge live, tunafanya kosa lingine kubwa LA karne kwa kuwapa Massa 24 wanafunzi wa UDOM utazani in wahalifu.

Upinzani wametumia uzaifu huu wa serikali kushindwa kutumia busara na kujipatia uungwaji mkubwa mkono toka kwa wananchi. Kwa wale wanafunzi takribani 7000 , kila mwanafunzi ameungwa mkono na watu 10 toka CCM kupinga na kukasilishwa na jinsi serikali ilivyotatua jambo hili. 7000*10=70,000.,usishangae CCM tukawa tumepoteza wanachama elfu sabini kwa inshu ya UDOM pekee. Lazima tuwe wakweli naibu spika alichemka sana kuzuia jambo hili kujadiliwa bungeni,kwa jambo ambalo ata kama lingejadiliwa lisingeleta hatari mbaya kwa serikali/CCM.

Naibu spika soma alama za nyakati wewe ni msomi level ya PhD utaongozaje bunge kwa kupokea maelekezo toka nje?tena maelekezo mabovumabovu. Ebu tendea haki elimu yako basi, tofauti na apo anguko kubwa LA kisiasa linakuja kwako kwa kasi kubwa.

Unaweza kuwa na PhD lakini ukawa kichwani hamna kitu.Alizoea kukariri sasa inakuwa shida
 
Adi kufikia march 2016 ubao wa matokeo ulikuwa unasomeka :CCM 85 % : Upinzani 15%. Ahsante baba JPM kuongeza idadi ya wapiga kura kwa CCM ,Mara baada ya uchaguzi mkuu. Kwa sasa ni masikitiko ubao wa matokeo umebadilika sana na mechi ndio kwanza nianza kwani adi 2020 sijui itakuwaje kwa makosa yakizembe tunayofanya adi kupoteza wapiga kura wengi hivi.

Huwezi amini,ukweli unauma ubao adi Leo hii 1/6/2916,, ni CCM 55%: UPINZANi 45%. yaani kutoka 85% adi 55% ndani ya miezi 3 na safari 2020 ndio inaanza,,dah inaumaa. Na kinachohuma zaidi na zaidi tunapoteza kwa kufanya mambo ya kizembe tena uzembe wa kitoto. Tuache ubishi inshu ya sukari na bunge live imetutupotezea kwa sana. Kabla hata hatujasahau makosa ya sukari na bunge live, tunafanya kosa lingine kubwa LA karne kwa kuwapa Massa 24 wanafunzi wa UDOM utazani in wahalifu.

Upinzani wametumia uzaifu huu wa serikali kushindwa kutumia busara na kujipatia uungwaji mkubwa mkono toka kwa wananchi. Kwa wale wanafunzi takribani 7000 , kila mwanafunzi ameungwa mkono na watu 10 toka CCM kupinga na kukasilishwa na jinsi serikali ilivyotatua jambo hili. 7000*10=70,000.,usishangae CCM tukawa tumepoteza wanachama elfu sabini kwa inshu ya UDOM pekee. Lazima tuwe wakweli naibu spika alichemka sana kuzuia jambo hili kujadiliwa bungeni,kwa jambo ambalo ata kama lingejadiliwa lisingeleta hatari mbaya kwa serikali/CCM.

Naibu spika soma alama za nyakati wewe ni msomi level ya PhD utaongozaje bunge kwa kupokea maelekezo toka nje?tena maelekezo mabovumabovu. Ebu tendea haki elimu yako basi, tofauti na apo anguko kubwa LA kisiasa linakuja kwako kwa kasi kubwa.
Huyo tayari kesha anguka, kimoyo anajua kuwa hakuna jema alilo liaweza hapo bungeni zaidi ya kuharibu,kiufupi ameshajikatia tamaa na anasubiri maamuzi juu yake na kwa maneno mengine anasubiri LIWALO NA LIWE TU
 
Bado sijaelewa.
Naamini ccm imara inakuja chini ya mwenyekiti wa chama Dr Magufuli.

Sio kwamba sipendi upinzani bali napenda Upinzani imara na CCM imara.
Ikiwa hivyo nchi yetu itasonga mbele zaidi.
Mtoa mada kajitahidi kutoa muelekeo halisi wa hali ya kisiasa
 
Back
Top Bottom