Hivi, ile kitu wanafanya kweli ama kuna kuact kidogo?
Ikija hapa watu lazma wauane..,
Kwa Tanzania haiwezekani kukianzisha kwa sasa!
Tulishawahi kupeleka maombi ili kuanzisha hicho kipindi kwenye wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na pia katika Wizara ya Mambo ya Ndani tulichoambulia ni kuwekewa masharti na vikwazo ambavyo vilitufanya kushindwa kuendelea na mpango huo kwa kuhofia kushitakiwa na serikali kupitia waathirika kitu ambacho kingepelekea hata kukosa wadhamini wa kipindi.
Sheria haziwalindi waendesha kipindi na hata research yetu ilionesha jamii ya Kitanzania haijafikia kiwango cha kuwa wavumilivu katika maswala ya kinyumba na mahusiano na kwa sababu hiyo kuna uwezekano kipindi kingeleta athari hasi kubwa katika jamii badala ya kuijenga.
Babu cheaters haina madhara kama jerry springer's show. Hatareee.
Uzuri wa ndoa za kibongo ni mahaba niue. Kwanza anaesifiwa ni mwanume smart ambaye anajua kuficha mambo yake. Ila ndo ukiwa na mume mmasai kila siku anarudi saa nane usiku unaconclude mwenyewe tu. Huhitaji kumlipa mtu a dime akuhakikishie
Hivi Jerry Springer's show ina ukweli wowote?
Mbona naona watu wanact tu, ama ni mie..
Babu cheaters haina madhara kama jerry springer's show.
Hivi Jerry Springer's show ina ukweli wowote?
Mbona naona watu wanact tu, ama ni mie..
Jerry Springer na kile cha Steve ni full acting
We nawe uko mshamba mshamba wakati mwingine. Kipindi cha Jerry kina madhara gani?
Jerry yupo hewani kwa zaidi ya miaka 20 na nimeanza kumwangalia kwa zaidi ya miaka 16 iliyopita na mpaka sasa sijaona madhara yoyote yale zaidi ya burudani na ku highlight vijimambo vya waja katika baadhi ya sehemu za jamii ya Kimarekani!
Ngumi za kwenye Springer ushawahi kuziona? Kama umewahi kuziona unaweza kweli ukadai ni ngumi za ukweli zile? Sidhani!!!
Wewe ushadhurika, utaonaje madhara yake? Hebu niondokee hapa na ujuaji uchwara wako. You should be on the show kwanza.
Hivi Jerry Springer's show ina ukweli wowote?
Mbona naona watu wanact tu, ama ni mie..
Unaniita mie mshamba na yet 'hudhani'! Hahaha I will spare you on this one.
Madhara yake ni yepi? Yaorodheshe hapa pamoja na wahanga wake.
Weeh mmasai kweli. Hahaha eti na wahanga wake wote niorodheshe.
Hivi umejifikiria sawasawa kabla ya kuuliza hilo swali? Lmfao, ujuvi wako ni wa aina yake. 16 yrs of watching it and that is what you ask? Khaaa
Wapi nimeandika wahanga wake "wote"? Unaota au unaona maruweruwe? Unapenda sana ku comment comment vitu ambavyo hata huna uelewa navyo mzuri. Ili iweje sijui....uonekane na wewe unajua sana yajiriyo Marekani au?
Umeshindwa kutaja madhara na umeshindwa kumtaja mtu hata mmoja aliyedhurika. Usijichekeshe...hiyo ni dalili ya kutokuwa na jibu/majibu ya swali/ maswali yangu.