Hawa InternetCalls/Voip wamepandisha gharama za kupiga simu mpaka cent 25 kwa dakika both kwenda landlines na mobile phones from Europe.Nisaidieni wakuu,hivi hakuna mtandao mwingine cheaper kuliko hawa?
Viber...etc ni internet yako tu! Bora unaowapigia uwanunulia simu zenye uwezo wa internet kuliko kutumia hizo Voip kwasababu baada ya muda gharama itazidi ya kuwanunulia simu. Kama wako sehemu isiyo na uwezo wa kuunganisha internet basi itabidi tu utumie VoipHawa InternetCalls/Voip wamepandisha gharama za kupiga simu mpaka cent 25 kwa dakika both kwenda landlines na mobile phones from Europe.Nisaidieni wakuu,hivi hakuna mtandao mwingine cheaper kuliko hawa?
Diaspora utawajua tu. They like everything cheap. Cheap cost!!!!!!!!
Diaspora utawajua tu. They like everything cheap. Cheap cost!!!!!!!!
Viber...etc ni internet yako tu! Bora unaowapigia uwanunulia simu zenye uwezo wa internet kuliko kutumia hizo Voip kwasababu baada ya muda gharama itazidi ya kuwanunulia simu. Kama wako sehemu isiyo na uwezo wa kuunganisha internet basi itabidi tu utumie Voip
Hawa InternetCalls/Voip wamepandisha gharama za kupiga simu mpaka cent 25 kwa dakika both kwenda landlines na mobile phones from Europe.Nisaidieni wakuu,hivi hakuna mtandao mwingine cheaper kuliko hawa?
Viber ndo habari ya mjini.
acha kuangaika watu tunatumia facebook messenger kupiga popote bure kabisa,kuna viber ,tango etc ni bure kabisa
nimeshagundua,napoteza pesa nyingi kupiga kwa voip,wacha niwatumie smartphones tutafutane kwa viber na skype
Itategemeana na locations zao,mimi nilifanya hivyo lakini bado nikashindwa kuwasiliana nao kwa viber n.k. sababu kule wanakoishi ni kijijini na signals ziko weak sana.Kwasasa nanunua subscription aidha dk 60=euro 13 au dk 120=23euro/mwezi via skype.nimeshagundua,napoteza pesa nyingi kupiga kwa voip,wacha niwatumie smartphones tutafutane kwa viber na skype
Yeah mi mwenyewe nafanya hivyo mambo yamekuwa rahisi Sana kwani huko hakuna utaratibu Wa kadi ukitaka kutumia regular call?
Itategemeana na locations zao,mimi nilifanya hivyo lakini bado nikashindwa kuwasiliana nao kwa viber n.k. sababu kule wanakoishi ni kijijini na signals ziko weak sana.Kwasasa nanunua subscription aidha dk 60=euro 13 au dk 120=23euro/mwezi via skype.