petrop1
Member
- Apr 27, 2020
- 50
- 9
Mimi ni kijana wa miaka 26..Mwaka 2012 nilipatwa na tatizo hili la chawa katika mwili kimaajabu ila kufikia 2014 tatizo lilibadilika chawa wakawa ni wa kichwani (kwenye ngozi ya kichwa)..nimetumia kila dawa kila mbinu ninayoamini ingenisaidia nmegonga mwamba.
Inafikia hatua naogopa hata kujichanganya penye watu maana wadudu hawa huwang'ata pia ninaokutana nao okipelekea watu kuanza kujikuna sehemu mbalimbali mwilini ninapokuwa nipo nao.
Kwa kutambua ukubwa wa jamii forum nmeleta hu uzi nikiamini nitasaidiwa..naahidi ataenisaidia nipone kabisa nipo tayari kumfanyia kazi bure mwaka mzima..asanteni sana
Inafikia hatua naogopa hata kujichanganya penye watu maana wadudu hawa huwang'ata pia ninaokutana nao okipelekea watu kuanza kujikuna sehemu mbalimbali mwilini ninapokuwa nipo nao.
Kwa kutambua ukubwa wa jamii forum nmeleta hu uzi nikiamini nitasaidiwa..naahidi ataenisaidia nipone kabisa nipo tayari kumfanyia kazi bure mwaka mzima..asanteni sana