TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,788
- 4,263
RAIA FEKI NI KANSA KWA TAIFABaada ya Kitoilet paper cha Habib mchange ,naye akiwa ndiye mhariri wa kitoilet hicho kutoa kashfa kumtuhumu Nilesh mmiliki wa state oil kuwa alitoa pesa kuifadhili CHADEMA,nileshi alitoka kukanusha tuhuma hizo nakusema yeye hakuwahi kuifadhili CHADEMA,bali alimpatia Heche fedha kama mwanasiasa ili amsafishe katika kashfa yake ya mafuta aliyoifanya kunyume na makubaliano ya kibali hicho.
Nilesh ameenda mbali kwa kumuandikia barua Habib ya kutaka kuomba radhi ama alipe fidia ya 2B.
Ndio atachagua azike au asafirishe.Bilioni 2 hana
Kiherehere huwa ni kibaya sanaNdio atachagua azike au asafirishe.
Wacha serikali itambebaKiherehere huwa ni kibaya sana
Wacha walane.Inadaiwa hilo jambo limetokea ndani ya ccm
Kaole sanaaa groupBaada ya Kitoilet paper cha Habib Mchange, naye akiwa ndiye mhariri wa kitoilet hicho kutoa kashfa kumtuhumu Nilesh mmiliki wa state oil kuwa alitoa pesa kuifadhili CHADEMA, nileshi alitoka kukanusha tuhuma hizo na kusema yeye hakuwahi kuifadhili CHADEMA, bali alimpatia Heche fedha kama mwanasiasa ili amsafishe katika kashfa yake ya mafuta aliyoifanya kunyume na makubaliano ya kibali hicho.
Nilesh ameenda mbali kwa kumuandikia barua Habib ya kutaka kuomba radhi ama alipe fidia ya 12B.
matter core anayo yaweza muokoaHabib X-Schoolmate toka shule kubwabwaja hauachi ?
Jamaa ana tabia mbaya sana huyu. 12 Billion anazitoa wapi ?
Mchange ataandamana kwenda ubalozi wa Vatican kupinga kudaiwa fidia hiyo.Baada ya Kitoilet paper cha Habib Mchange, naye akiwa ndiye mhariri wa kitoilet hicho kutoa kashfa kumtuhumu Nilesh mmiliki wa state oil kuwa alitoa pesa kuifadhili CHADEMA, nileshi alitoka kukanusha tuhuma hizo na kusema yeye hakuwahi kuifadhili CHADEMA, bali alimpatia Heche fedha kama mwanasiasa ili amsafishe katika kashfa yake ya mafuta aliyoifanya kunyume na makubaliano ya kibali hicho.
Nilesh ameenda mbali kwa kumuandikia barua Habib ya kutaka kuomba radhi ama alipe fidia ya 12B.
WANAAMINI WAKIWA UPANDE WA SERIKALI BASI WANAWEZA KUFANYA LOLOTEHawa machawa inatakiwa wajue freedom of speech haimaanishi uhuru wa kuharibu sifa za wengine bila ushahidi.
Sijui hata nani kamtuma,maana ninavyojua NILESH na Abdul Samia na kina Davis Mosha ni marafiki haswaa na wamepiga sana dili za mafuta,Abdul kaingizwa kwenye chain kipindi hiki..Inadaiwa hilo jambo limetokea ndani ya ccm