Chama kilikula ufadhili wa mifwedha kwa makubaliano kuwa mwamba naye atakuwa mkunja ngumi/mla ubwabwa,,,, mambo yamekuwa tofauti, wafadhili wamekula kona ,,,,,
Yaani wamwage pesa zao kwa ushawishi na kina kigaila ? Catherine? Salum mwalimu ? Mlevi mrema ? Wamepita hivi ,,,, !