CHAUMMA chaumwa

CHAUMMA chaumwa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,928
Reaction score
828,569
Hakijatoa taarifa rasmi

Hakijasema popote.. Lakini hali ni tete sana kinapumulia mashine.. Na mipira ya kutolea uchafu .. Kiko chumba cha mahututi

Waliojofanya ndugu jamaa na marafiki, wamekikimbia, wamekitenga wamekisahau sasa bado kukikana!

Hali ni dhoofu bin taaban.. Hakina msaada wowote.. Kinachosubiriwa ni kukata roho tuu
Shetani hana rafiki sasa wameamini
Sasa hakisikiki popote

Hakisemwi popote
Hakitajwi popote
Hakiandikwi popote
Hakika chauma chaumwa tukae mkao wa kutandika tanga
 
Kigaila na Yeriko Nyerere bado wanajifaragua 😂

1000040372.jpg
 
Hakijatoa taarifa rasmi
Hakijasema popote.. Lakini hali ni tete sana kinapumulia mashine.. Na mipira ya kutolea uchafu .. Kiko chumba cha mahututi

Waliojofanya ndugu jamaa na marafiki, wamekikimbia, wamekitenga wamekisahau sasa bado kukikana!

Hali ni dhoofu bin taaban.. Hakina msaada wowote.. Kinachosubiriwa ni kukata roho tuu
Shetani hana rafiki sasa wameamini
Sasa hakisikiki popote
Hakisemwi popote
Hakitajwi popote
Hakiandikwi popote
Hakika chauma chaumwa tukae mkao wa kutandika tanga
Hakika mnaa hana rafiki,Ndugu yangu P kwa maslahi ya taifa anaitaja karma,hii haija waacha swalama akina Chaumwa,na hata wasaliti wa awali wa hili taifa kama covid19.Mungu sii mjomba mchumari.
 
Hakika mnaa hana rafiki,Ndugu yangu P kwa maslahi ya taifa anaitaja karma,hii haija waacha swalama akina Chaumwa,na hata wasaliti wa awali wa hili taifa kama covid19.Mungu sii mjomba mchumari.
Wengi wamejiwahi wakakimbia Ila wengine kwa kuchelewa
 
Hakijatoa taarifa rasmi

Hakijasema popote.. Lakini hali ni tete sana kinapumulia mashine.. Na mipira ya kutolea uchafu .. Kiko chumba cha mahututi

Waliojofanya ndugu jamaa na marafiki, wamekikimbia, wamekitenga wamekisahau sasa bado kukikana!

Hali ni dhoofu bin taaban.. Hakina msaada wowote.. Kinachosubiriwa ni kukata roho tuu
Shetani hana rafiki sasa wameamini
Sasa hakisikiki popote

Hakisemwi popote
Hakitajwi popote
Hakiandikwi popote
Hakika chauma chaumwa tukae mkao wa kutandika tanga
acha uongo gentleman,
yaani unaisema chaumma, unaitaja, uanaiandika halafu, kifua mbele kabisa unakuja jukwaani unasema eti haisemwi popote dah, huu uzushi wa karne aise dah :pedroP:
 
acha uongo gentleman,
yaani unaisema chaumma, unaitaja, uanaiandika halafu, kifua mbele kabisa unakuja jukwaani unasema eti haisemwi popote dah, huu uzushi wa karne aise dah :pedroP:
Hog fieces🚯
 
Back
Top Bottom