Chatanda aleta vurugu sombetini

Chatanda aleta vurugu sombetini

Lendapa

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
201
Reaction score
37
Mwenyekit wa ccm kata ya sombetin arusha Gerald Munish pamoja na katib wa ccm Arusha Mary chatanda,wamesababisha vurugu baada ya kuja kwenye kituo cha mbauda na gari lililosadikiwa kuwa na kura,na pia munish alikuwa akipakia watu na kuwasomba kuelekea kituon.

Magar hayo ni T.399 landcruser na T.911 AMW.

Chatanda bado yupo ila gar limeondoka.
Nitawapa update zaid
 
Update
mh lema amesema aondolewe na wameondolewa.
 
duu udiwani 2014 tuuu watu wataka kutoana rohoo......hivii je uraisi 2015.....itakuwajeee
 
Dah magamba wanafanya kila hila yakuendelea kuwaibia wtz rasilimali zao ila kila kitu kinamwisho Ndo dalili hizo .zimeanza kuonekana
 
Update
hali kidg shwari lakin kila gar linalokuja lazima lisimamishwe
 
Dah magamba wanafanya kila hila yakuendelea kuwaibia wtz rasilimali zao ila kitu kinamwisho Ndo dalili hizo .zimeanza kuonekana
 
chatanda huyu anatumia sana naniliii yake kuvuruga chaguzi
 
Back
Top Bottom