CHASO-Tabora wafanya mkutano!

CHASO-Tabora wafanya mkutano!

MAKASSY

Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
95
Reaction score
26
Habari wa jf!mpaka muda huu makamanda wa CDM Tabora tawi la SAUT,wako katika kikao cha kupanga mikakati jinsi ya kuikomboa jamii ya Tanzania hususani wana Tabora!Mungu ibariki CDM,Mungu ibariki CHASO
 
Mjihadhari sana na hao viongozi wa chaso,kuna viongozi wa chaso saut nyegezi mwanza,wameshanunuliwa,habari nilizonazo kutoka hapo saut nyegezi ni kwamba,wasira alipokuja aliwatafuta na kuwapa dau,wakakubaliana waendelee kupiga siasa wakiwa chaso baadae wajitoe,chanzo cha habari hizi kilikuwa na kadi za ccm za vijana hao,kwakuwa Mimi siwajui sikuamini habari hizi,ila ni vizuri kuwa na tahadhari,ili hata kama ni kweli chadema muwe tayari mmejipanga kukabiliana nao.binafsi nilisikitika ingawa bado sijatibitisha.
 
Ni kweli kamanda hata hapa CHASO Tabora tunawasiwasi huenda kuna ccm na act wamejipenyeza kwani kuna jamaa mmoja anaitwa jeremia heri na Mganda zacharia wameonyesha kutokuwa na uaminifu ndani ya CDM na miongoni mwa mambo yaliyojadiliwa leo ni kwamba Mwenyekiti wa CHASO-TABORA kumpiga stop kujihusisha na mambO yahusuyo CHADEMA!pmj mkuu
 
Mjihadhari sana na hao viongozi wa chaso,kuna viongozi wa chaso saut nyegezi mwanza,wameshanunuliwa,habari nilizonazo kutoka hapo saut nyegezi ni kwamba,wasira alipokuja aliwatafuta na kuwapa dau,wakakubaliana waendelee kupiga siasa wakiwa chaso baadae wajitoe,chanzo cha habari hizi kilikuwa na kadi za ccm za vijana hao,kwakuwa Mimi siwajui sikuamini habari hizi,ila ni vizuri kuwa na tahadhari,ili hata kama ni kweli chadema muwe tayari mmejipanga kukabiliana nao.binafsi nilisikitika ingawa bado sijatibitisha.


Ukiona viongozi wa chama tawala wanafanya jitihada za kuwanunua viongozi au wanachama wa vyama vya upinzani ujue hali ya kisiasa imegeuka, hawana jipya katika mikoba yao na hapo wapinzani wajiandae kuwa uwanja sio salama tena kufanya siasa za ushindani halali. Mara nyingi mwisho wa kununua wapinzani ni kudhalilika kwa chama tawala.
 
Back
Top Bottom