MUSUMIFYCOM
Member
- Nov 28, 2012
- 55
- 28
CHASO mkoa Iringa wamemtesa katibu wa CCM mkoa Iringa, Hassan Mtenga.
Umoja wa wanafunzi vyuo vikuu unaoundwa na vyuo zaidi ya vitatu mkoani humo ambavyo ni university of Iringa(Tumaini),Ruaha Catholic university ruco,Mkwawa University, MUCE na vingine, katibu wa CCM mkoani humo amesikika akilaumu katika vyombo vya habari mara nyingi kwamba ameshindwa maeneo yanayozunguka vyuo hivyo ni kwa sababu vijana wasomi wanaamini katika demokrasia na maendeleo ya kweli hvyo kuamua kuchagua CHADEMA.
Katibu huyo wa CCM mpaka sasa ameiona CHASO ni umoja ambao unamtesa sana na kumfanya kila muda kufikiria jinsi gani atapata vijana waliojitolea kama hawa wanaokiunga mkono chama cha CHADEMA.
Umoja wa wanafunzi vyuo vikuu unaoundwa na vyuo zaidi ya vitatu mkoani humo ambavyo ni university of Iringa(Tumaini),Ruaha Catholic university ruco,Mkwawa University, MUCE na vingine, katibu wa CCM mkoani humo amesikika akilaumu katika vyombo vya habari mara nyingi kwamba ameshindwa maeneo yanayozunguka vyuo hivyo ni kwa sababu vijana wasomi wanaamini katika demokrasia na maendeleo ya kweli hvyo kuamua kuchagua CHADEMA.
Katibu huyo wa CCM mpaka sasa ameiona CHASO ni umoja ambao unamtesa sana na kumfanya kila muda kufikiria jinsi gani atapata vijana waliojitolea kama hawa wanaokiunga mkono chama cha CHADEMA.