Charlie Champlin Vs Mr Bean

Charlie Champlin Vs Mr Bean

Boeing 757

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2020
Posts
288
Reaction score
623
We unadhani nani mkali ? Ni kazi gani za hawa jamaa zinakuvutia? Hawa ma legend ni kati ya binadamu wachache sana ambao wameingia kwenye kumbukumbu za dunia kwa vizazi vya sasa na vingi vijavyo.

Kwa ucheshi wao wameitendea taaluma yao ya uchekeshaji haki. Rowan Atkinson wa Johnny English
Au Ni CHARLIE wa the kid.

Binafsi nawakubali wote.
Screenshot_20200617-130826.jpg
 
Kila mmoja alikuwa mkali kwa wakati wake swali jingine tafadhali?
 
Charlie Chaplin anaeza kuwa mkali kwani mfumo wa uchekeshani wa MR bean ume copy kutoka kwa charlie. Ule uchekeshaji wa vitendo ambao mtu wa lugha yoyote anaelewa. Mimi nichaona Mr been alifanya muendelezo wa Charlie.

Uchekeshaj wa hivyo naukubal sana mana ndo kipaji halisi hivyo japo Mr Bean ka copy ila katumia vema...
 
Chaless chalie champline ni mwamba wa hizi mambo sijamuona mtu yeyote wa comedy hata huy mr bean anacopy na ku pest kutoka kwa mwmba wa comedy chaless chalie champiline
Charlie the KING. Hakuna mwingine
 
Namkubali Charlie Chaplin ila Mr bean huwa ananichekesha zaidi.
 
We unadhani nani mkali ? Ni kazi gani za hawa jamaa zinakuvutia ?
Hawa ma legend ni kati ya binadamu wachache sana ambao wameingia kwenye kumbukumbu za dunia kwa vizazi vya sasa na vingi vijavyo .
Kwa ucheshi wao wameitendea taaluma yao ya uchekeshaji haki .
Rowan Atkinson wa Johnny English
Au Ni CHARLIE wa the kid.
Binafsi nawakubali wote.View attachment 1481303
Mpaka siku zote naendelea kumuangalia Charlie Chaplin.
 
Chaplin Na Atknison wanaweza kuonekana kama wanafanana kwenye uchekeshaji , ila kama ukichunguza kwa makini filamu zao ni watu wawili tofauti na kila mmoja alikua na mbinu yake ya uchekeshaji ambayo ni kinyume kabisa na ya mwenzake

Wote ni wafalme wa Physical Comedy kitu kinachofanya watu wengi wahisi Atknison ka copy kwa Chaplin simply kwasababu Chaplin alianza kabla ya Atkinson....ila utofauti wa mkubwa ni kwamba Chaplin alikua anachekesha kwa kuwafanya characters wanao mzunguka kuonekana wajinga mbele ya hadhira huku Atknison akichekesha kwa kujifanya mjinga mbele ya hadhira (Child like character) ukilinganisha na characters wanaomzunguka
 
Chaplin Na Atknison wanaweza kuonekana kama wanafanana kwenye uchekeshaji , ila kama ukichunguza kwa makini filamu zao ni watu wawili tofauti na kila mmoja alikua na mbinu yake ya uchekeshaji ambayo ni kinyume kabisa na ya mwenzake

Wote ni wafalme wa Physical Comedy kitu kinachofanya watu wengi wahisi Atknison ka copy kwa Chaplin simply kwasababu Chaplin alianza kabla ya Atkinson....ila utofauti wa mkubwa ni kwamba Chaplin alikua anachekesha kwa kuwafanya characters wanao mzunguka kuonekana wajinga mbele ya hadhira huku Atknison akichekesha kwa kujifanya mjinga mbele ya hadhira (Child like character) ukilinganisha na characters wanaomzunguka
umsem vema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom