Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,544
- 1,760
Kisiwa ndo nani?!?
kama ulikuwa na mm..nilitaka kumuuliza pia??
Kisiwa ndo nani?!?
naombeni radhi kwa hiyo kauli hapo juu ila ni uchungu jamani!! Mafundisho yetu ya kiislamu hakuna kushabikia ugaidi lakini mafundisho yetu ni kumuabudu mungu , kufuata amri kumi za mungu, kuwaheshimu watume plus jesus, swala , matendo mema na mengine mengi mazuri!!!