Chanzo cha vurugu mbagala hiki hapa

naombeni radhi kwa hiyo kauli hapo juu ila ni uchungu jamani!! Mafundisho yetu ya kiislamu hakuna kushabikia ugaidi lakini mafundisho yetu ni kumuabudu mungu , kufuata amri kumi za mungu, kuwaheshimu watume plus jesus, swala , matendo mema na mengine mengi mazuri!!!

unavijimambo kaka...fikiri kabla ya kutenda..!
 
Back
Top Bottom