johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Nipo hapa naangalia hii mubashara ya PM na wafanyabiashara,.......... Uwe unaelewa!Angalia TBC,ITV na Azam tv
Kwani TBC baada ya kufunga mitambo ya kisasa imebadilika?
Kila kitu kikiguswa na CCM kinaharibika!
Usihuzunike!Waulize wenzako mnaoitazama hiyo ccmtv
In God we Trust
Nipo hapa naangalia hii mubashara ya PM na wafanyabiashara,.......... Uwe unaelewa!
Ndio hao.......kwani Ufipa kuna luninga?.... Tutawaleteeni Le mutuz awasaidie!
Kwani tumesema tunataka luningaNdio hao.......kwani Ufipa kuna luninga?.... Tutawaleteeni Le mutuz awasaidie!
Tanzania Daima linawatosha!
Pambana sauti rangi itulieTanzania Daima linawatosha!
Karibu mkuu....... Nyumbani kumenoga!
CCM inaandamwa na Majini,Mashetani,Mapepo punda nk nkKwani TBC baada ya kufunga mitambo ya kisasa imebadilika?
Kila kitu kikiguswa na CCM kinaharibika!
Nimesikitika kuona namna matangazo mubashara ya mkutano wa Waziri mkuu na wafanyabiashara wa jijini Dsm yalivyokosa ubora.
Picha zinachukuliwa upande mmoja tu, sauti haisikiki vizuri sanasana zinaonekana sare za kijani tu sasa sijajua kama hao nao ni wafanyabiashara.
Channel ten badilikeni bhana
Maendeleo hayana vyama!
Walisema wanahitaji camera za kisasa.....wakapewa mil 100 kwa ajili hiyo, na 100m kwa hayo mambo mengine!Magufuli aliwauliza mahitaji yao? Je walikuwa wanahitaji 2b ili mitambo iwe sawa? Huenda hizo 200m walilipwa wafanyakazi malimbikizo.
Karibu mkuu....... Nyumbani kumenoga!