Channel Ten ndani ya DSTV

EATV na CLouds sawa wako tofauti na hawa wengine
wanastahili kuwa DSTV...
ITV wana habari nzuri tofauti na wengine
local tvs kujiunga na media kubwa duniani ni kawaida
hata TV za Kenya na nyingi za afrika hufanya hivo
bora wakaingia DSTV itasaidia kupunguza utitiri wa vingamuzi

 
Na Je tutafika cha Makwaia
At least ni kipindi cha kuwafumbua macho watz waliolala
Itabidi Ch 10 waboreshe na kubuni vipindi vipya na kuongeza Watangazaji mahiri na wenye uelewa kama Mr"Google"(Kibwana Dachi)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…