Siku wakiingiza ITV natupa kistartimes kule!!
Nitawapongeza sana channel ten na siku ITV wakiingia basi TING naitupa chooni kwa walinunulisha vingamuzi viwili bila sababu.
Siku wakiingiza ITV natupa kistartimes kule!!
vipi clouds tv? tv za tanzania ni full majanga na kuingia DSTV ni kujidhalilisha.
Star tv muda wote-DW TV
Channel ten muda wote-Sky News
ITV muda wote-BBC/CNN
TBC muda wote-CCTV
Capital muda wote-BBC
EATV-muda wote miziki
Clouds muda wote Miziki
bora kukaa JF
Contents ndio la muhimu!Picha za uzinduzi wa channel ten kuoneka katika DSTV!
Picha:Uzinduzi Wa Channe Ten Kuonekana Kupitia DSTV Channel Number 292 - Salma Msangi
My take!
Issue hapa siyo kuonekana DSTV bali wao channel ten wana jipya lipi la kutazamwa katika mataifa inakopatikana DSTV? wana jipya? kama hawatabadilika bora wasiingeingia tu.
Kweli mkuu zaidi ya hapo uchafu tu
Cha maana ni JENERALI ON MONDAY kama bado kipo