Channel Ten kuna Ukabila?

Channel Ten kuna Ukabila?

Hawa ni watangazaji wa kinyakyusa pale Channel Ten.
Fred Mwanjala
Emmanuel Mwakapotela
Mwambopo
Kissa Mwaipyana

Je ni Coincidence au kuna ukabila?
Hakuna ukabila namfahamu Fred Mwanjala ,alipoingia pale Channel 10 ilikuwa inatangaza tu Dar miaka ya 99 kama sijakosea ,tena alipelekwa pale na dada mmoja wa mtaani kwake na alijiunga na Channel kwa ngazi ya chini sana alikuwa anamsaidia Ngonyani kwenye sehemu za mitambo,kidogokidogo baada ya kuzoea mazingira ndio akaanza kujifunza utangazaji kwa kuibia kwa kuwafuata watangazaji waliokuwepo,nadhani Ngonyani ndie kamsaidia sana Fred kufika hapo alipo na ujue wakati ule Channel ten ilikuwa chini ya wahindi na yule mtaliano,hawa wengine wamepata kazi kwa juhudi zao,viongozi wa Channel 10 ni wahindi,sasa hao wahindi watawapendelaje Wanyakyusa,mbona sehemu nyingi utakuta sehemu moja au idara moja kuna watu wa kabila moja hata sita,je napo utasema kuna ukabila.Wenye mawazo hasi hupenda kuangalia vitu hasi,pole
 
hii tv ni mfano halisi wa TV zilizo dumaa, ya kale lkn inakosa mvuto, wanahitaji kuiboresha sana.
 
Hawa ni watangazaji wa kinyakyusa pale Channel Ten.
Fred Mwanjala
Emmanuel Mwakapotela
Mwambopo
Kissa Mwaipyana

Je ni Coincidence au kuna ukabila?
Hao ni Watangazaji wanne tu,
Embu weka staff wote wasio Wanyakyusa ili tulinganishe
 
HATA BBC KUNA UKABILA...
Salim Kikeke na mkewe Zuhra Yunus....

HALAFU ACHA UJINGA WEWE Albert Alinanuswe.
 
Back
Top Bottom