Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,546
Jamaa yangu jana ameingia na mdada gest alipoamka asubuhi akamkuta hayupo na simu na fesha hakuna. Hii ni baada ya kutokumwona kwenye mkutano na ikawa simu yake haipatikani na tulipomtuma dereva pale aliposhukia tukamkuta ila akajikausha as if nothing has happened.
Kwa mujibu wa wahudumu jamaa aliingia saa 6 chumbani akiwa amefuatana na binti mmoja na walikuwa wameiva baada ya kupiga ulabu wa uhakika. Hadi sasa yule msichana hajapatikana.
Nawashauri vijana ogopeni pombe na jiadharini na hawa akina dada poa mnapokuja Morogoro kwani watakuchukulieni sio tu asset zenu lakini pia watawaambukiza VVU
Hakujifunza toka kwa Adam Malima!? mwenzie pamoja na kuwa na SMG na pistol bado walimliza...