Haematology
Member
- Jan 7, 2019
- 18
- 9
Leo 14/6 ya kila mwaka ni siku ya mchangia damu kwa hiari.Kwa ambao mnaweza mnaweza kusogea kwenye sehemu wanazotoa ili kuchangia. Siku njema kwenu nyonte
Biskuti na soda zipo?
Tusifanyiane hivyo, nitasepa na damu yangu nikahudumie mbu homeHahaha sehemu nyingine wanatoa ila kwingine hawatoi



Tusifanyiane hivyo, nitasepa na damu yangu nikahudumie mbu home![]()
Unaweza ukatoa damu kwa moyo mkunjufu kabisa halafu hapo hapo utashuhudia mtu anakufa kwa kukosa damu..Hahahaahah huna moyo wa upendo kwa wagonjwa
Unaweza ukatoa damu kwa moyo mkunjufu kabisa halafu hapo hapo utashuhudia mtu anakufa kwa kukosa damu..
Utajiuliza tunakwama wapi utakosa jibu..
Unaweza ukatoa damu kwa moyo mkunjufu kabisa halafu hapo hapo utashuhudia mtu anakufa kwa kukosa damu..
Utajiuliza tunakwama wapi utakosa jibu..
Hata kama ulikuwa na nia ukiona huo upuz lazima roho ikuumeLabda huyo mgonjwa alicheweshwa uletwa kupata huduma hiyo ila ww ulikuwa na nia ya kweli Mungu atakubariki kwa upendo wako
Hata kama ulikuwa na nia ukiona huo upuz lazima roho ikuume