Changamoto za Sera ya “Elimu Bila Malipo”

Changamoto za Sera ya “Elimu Bila Malipo”

Mwanantogakulya

Senior Member
Joined
Mar 18, 2025
Posts
130
Reaction score
118
  • Fedha ya serikali haitoshi kugharamia kila kipengele, hasa kwa wanafunzi wa bweni.
  • Shule nyingi hutafuta njia mbadala ya kupata fedha kwa kuhamishia mzigo kwa mzazi.
  • Hivyo basi, elimu si bure, bali imegeuzwa jina tu huku mzigo ukiwa kwa familia.
 
Back
Top Bottom