Changamoto za NIDA saa za lala salama

Changamoto za NIDA saa za lala salama

Mimi mwenyewe nasubiri kutupa tu line maana nipo mkoa mwingine na niliandikisha dar toka mwaka 2016 but kila nikitafuta namba mtandaoni naambiwa taarifa sio sahihi na wakati majina ni hayo hayo ninayotumia kwenye vyeti vyote, nikajitoa kwenda nida napo nimeambiwa hawaangalia kama uliandikisha mkoa mwingine
 
Sisi tuliojiandikisha mwaka 2013 hatukupata changamoto hizi kabisa kwa hapa dar.
Nakumbuka mimi walifanya kuntumia msg kuwa bwana easy njoo uchukue ID yako hapa magomeni.
wanaosema kile ni fake, mimi ndio nakitumia sehemu zote mpaka benki
 
Me nacho kifanya nitakwenda toa pesa zangu zote kwenye tigo pesa.. then liwalo na liwe
 
Magari yalukua yana pita kuhamasisha watu wajiandikishe toka 2010 watu waka dharau, mimi nimepata kitambulisho 2016. Tatizo watanzania ndio hilo na sio simu/line tu hki kitambulisho kita wapa tabu kwa mengi tu.
 
Na kile kina beba details nyingi sio kama kile cha kura. Hata zile machine ni tofauti
 
Ndio kipimo cha kuipa au kuinyima CCM kura. Tarehe 20 ikifika na hawajamaliza kuandikisha, watakuwa wameshindwa kutekeleza ahadi
 
Back
Top Bottom