KERO Changamoto ya Makonda kutokutoa chenji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ila siku tukienda kwenye online payment yataisha haya
 
Kwa mujibu wa Afisa Usalama Barabarani (Traffic), abiria anapaswa kubeba nauli kamili Kwa sababu anafahamu kuwa anapanda chombo cha usafiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…