Changamoto Ulizopitia Kwenye Kusaka Ajira

Changamoto Ulizopitia Kwenye Kusaka Ajira

Mwana jukwaa kuwa huru kutupa baadhi ya changamoto ulizopitia wakati unatafuta ajira, pengine labda itakua fundisho nasi wengine tujue namna ya kuruka viunzi hivyo. Karibu
Yaani miaka hii kusoma ni sawa na kujiongeza stress tu za maisha.
 
Niliomba kazi fulani serikalini,nikapata nikapangiwa kituo cha kazi Mkoa Simiyu, baadae nkaambiwa sina sifa siwezi ingia kwenye payroll,ya pili hivyo hivyo serikalini pia nimefanya interview zote naenda kuriport naambiwa na HR sina sifa
ukiambiwa hivyo jua HR anataka umpoze chochote kitu
 
Back
Top Bottom