matungwabengesi
Member
- Aug 11, 2016
- 12
- 6
Nafasi zimetoka jana gazeti la mwananchi
Usaijili next week wametuma sms
Acha kudanganya wenzio.Usaijili next week wametuma sms
Namba ipi?Endelea kuwafariji tu wakati wameisha isoma namba
Namba ya kirumiNamba ipi?
Jamani kimya au kuna watu wameitwa
Niliongea na MTU mmoja pale LAPF akanambia kwamba bado wanafanya " LONG LISTING " sio short listing, you know what I meanKimya aisee..labda wapo walioitwa
Hahahaha,long listing,more than 1000 candidates for 9 positions
Mwaka Jana nafasi zilikuwa 4 waliita zaidi ya watu 3000 pale DUCE.Wakifanya hicho kituko siendi
Mwaka Jana nafasi zilikuwa 4 waliita zaidi ya watu 3000 pale DUCE.
Sijajua ila inaonesha wapo vizuri.Remunaration yao ikoje lakn??
Sijajua ila inaonesha wapo vizuri.