Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,505
- 6,903
Wadau nimeitwa kwenye aptitude test na hawa LAPF, je kuna mtu ana ABC zao hawa jamaa??
Wadau nimeitwa kwenye aptitude test na hawa LAPF, je kuna mtu ana ABC zao hawa jamaa??
Google.
Hadi tarehe 26 utakuwa ushapata ABC..............WXYZ zao.
Nami nmeitwa
Mi ndo mara ya kwanza hivyo cjui chochote bora wangesema wameita watu wangapi ili mtu ujitathmin mapema kabla hujaingia gharamaHawa watu wanaitaga watu wengi sana eti??
Mkuu google haiwez niambia kila k2 lengo la swal langu n kama mtu aliwahi fanya intavyuu kwao anaweza kuongeza maujanja kidgo
Mi ndo mara ya kwanza hivyo cjui chochote bora wangesema wameita watu wangapi ili mtu ujitathmin mapema kabla hujaingia gharama
Wewe ndio unapotosha watu, wameanza kuita kwa kutumia msg, usaili ni trh 26/04/2017 mahali DUCE muda saa 02:30 asbhAcha kudanganya wenzio.
Hatujaanza hata kuchambua barua.
Tegemeeni tutaanza kuwaita kuanzia mwezi wa pili mwakani.
Hilo jibu alilitoa mwaka jana, kwahiyo alikuwa sahihiWewe ndio unapotosha watu, wameanza kuita kwa kutumia msg, usaili ni trh 26/04/2017 mahali DUCE muda saa 02:30 asbh
Haya sasa usaili wa lapf tarehe 26 April 2017 duce kwanza saa 2:30 asubuhi
Wewe ndio unapotosha watu, wameanza kuita kwa kutumia msg, usaili ni trh 26/04/2017 mahali DUCE muda saa 02:30 asbh